Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Next Everton
Sijaona ugumu wa Everton ,pressing yetu ipo systematic ,utafikili unacheza game ...
Mhimu gundo asiwe amepata injury ,ndio goal machine yetu kwa sasa ..
Sijajua aguero atakuja vip baada ya covid ,na kdb baada ya injury ,but Bernardo ndo machine nyingine hatar ,jamaaa anazungusha watu pale kati daaa....
Stering yupo gud ,madhaifu ya kutoshoot mapema ndan ya box mpaka abaki na goli nadhan hata pep anaona ,......
Sijaona ugumu wa Everton ,pressing yetu ipo systematic ,utafikili unacheza game ...
Mhimu gundo asiwe amepata injury ,ndio goal machine yetu kwa sasa ..
Sijajua aguero atakuja vip baada ya covid ,na kdb baada ya injury ,but Bernardo ndo machine nyingine hatar ,jamaaa anazungusha watu pale kati daaa....
Stering yupo gud ,madhaifu ya kutoshoot mapema ndan ya box mpaka abaki na goli nadhan hata pep anaona ,......