Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Tuko pamoja hawa watoto inabidi watokeWale was Dortmund tujuane mapema.
Hayupo leoPamoja na yote sterling no takataka ,why pep anamwamini sterling ....
Aisee nikimwona uefa sitaangalia hata game huyu mtu...
Yupo leoPengo LA dias limeonekana kabisa ...
Stone kashindwa kupiga tackle Mpira Wa vile daaa ....
Fainali lazimaPsg ni timu nyepes sana ...
Leo tukimmaliza dortmund basi final ileeeee....
Nawote. HawapoHawa watu wamepoteza game epl na leed
Mendy
Sterling
Jesus
Torres
Aisee watulie kwanza ...
Hii game ni mhimu ...
Sitegemei pep akosee tena kwenye kikosi ...
Pain killer, huku watu washafungwa visemeo tayari. R. Mahrez 55' & P.Folden 75' kwa pamoja tunasema kwaheri Dotmund.45min remain ..
Tunahitaji goli moja tu ..
Out of that ,tupo out of CL