The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Aisee chelsea mko vizuri, kwa mpira ule na real madrid, madrid wao wenyewe walishangaa
Kuna jambo zito litatokea fainali UCL ...
Kila anayekuja mbele yetu sisi tunakula kichwa tuu, ila huu mpira unaweza shangaa man City anashinda UCL 😂😂😂
 
Sawa anajua alikuwa anawaonesha namna gani CL hawapangi ,kuna media zilikuwa zinawapa kichwa kuwa aguero ,sterling hawapewi nafas CL so ameamua kutua lawama ...

Mahrez

KDB

Foden

Gundo

Zincheko

Stone,

Wanamwunganiko mzuri kuzid kikosi kilichoanza ,..

Anyway hii match haina madhara kwetu ,ila imeturudisha darasan ...


Huenda tungeshinda ,MTU kama aguero ,streling ,ake tungewaona final ,kitu ambacho ingekuwa hatari zaidi ..

Come on city

Pole mkuu. Ndiyo mchezo ulivyo ukikamia mechi lazima unyofolewe[emoji23][emoji23][emoji23]

Tukutane Sekand Leg UEFA
 
Aguero najua huko aliko anajua alichofanya...

Tunatikwa kufocus game inayokuja kumalizana na EPL ..

Alichofanya Chelsea ni sawa na mwanafunzi kupata division one kwenye mtihani wa mock ,huku maandalizi ya necta yakiendelea ..

Pep ananafasi nyingine tene kudhihilisha uwezo wake mbele ya TT ...


Kupoteza hii match ni nzuri zaidi kuliko kupoteza final uefa ..

Hope pep amejifunza ,anajua cha kwenda kufanya ..


ila why anaanza na watu kama

Ake, Mendy ,aguero ,sterling ,jesus ..



Hio ndio walipoteza dhidi ya FA ...

Ungekuja kwanza na yale matabishi yako kabla ya Metch ya leo. Pia kabla ya kukutana FA nusu fainali. Ili twende sawa
 
Tangu nimeijua man City, leo ndio wamecheza vizuri kuliko mechi zote tangu enzi hizo.
 
Hodi wenye mtaa huu. Tumekuja kuwapa pole vibonde wetu. Poleni na maumivu. Kuna mtoto anaitwa Pain Killer, ni msumbufu sana mtaa wetu. Akija mumsalimie.
Alamsiki!

Screenshot_20210508-231238_Samsung Internet.jpg

(2010-2021)

Hata kama mmewin, but ubora wao uko pale pale. Ubingwa wa ndani ni wetu, na Uefa ni yetu pia 😀


Jamani jamani

Screenshot_20210508-231238_Samsung Internet.jpg
(2010-2021)

Hata kama mmewin, but ubora wao uko pale pale. Ubingwa wa ndani ni wetu, na Uefa ni yetu pia 😀



🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
 
Aguero najua huko aliko anajua alichofanya...

Tunatikwa kufocus game inayokuja kumalizana na EPL ..

Alichofanya Chelsea ni sawa na mwanafunzi kupata division one kwenye mtihani wa mock ,huku maandalizi ya necta yakiendelea ..

Pep ananafasi nyingine tene kudhihilisha uwezo wake mbele ya TT ...


Kupoteza hii match ni nzuri zaidi kuliko kupoteza final uefa ..

Hope pep amejifunza ,anajua cha kwenda kufanya ..


ila why anaanza na watu kama

Ake, Mendy ,aguero ,sterling ,jesus ..



Hio ndio walipoteza dhidi ya FA ...
Simnakikosi kipana kwani, wengine hapo walikuwa wanaanza kipindi cha nyuma

Siku ule mfumo wenu wa kucheza bila no 9 ukianza kukwama mtalilia kwa nini hajaanza jesus au kwa nini hakununua striker
 
Hahahaha Kama bao zingekubaliwa basi zingekuwa Tano ..je bado mna la kusema??

#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
 
Always pep rotation lose ..

Hatutaweza kufanya chochote kwa wachezaji kama aguero ,sterling ,Jesus Mendy ,shit player ambao wapo wapo tu ..

Pep asipofanya kazi ya ziada ,Chelsea atastahili kuchukua uefa ,..

No more comment

Chelsea walistahili ushindi this game


FA lose

EPL lose

Uefa ???
Ivi wewe unategemea UEFA utabeba? Yaani ata ufanyeje Thomas Tuchel anakufunga Mara ya tatu
 
Always pep rotation lose ..

Hatutaweza kufanya chochote kwa wachezaji kama aguero ,sterling ,Jesus Mendy ,shit player ambao wapo wapo tu ..

Pep asipofanya kazi ya ziada ,Chelsea atastahili kuchukua uefa ,..

No more comment

Chelsea walistahili ushindi this game


FA lose

EPL lose

Uefa ???
Kumbe kuna muda unakuwa na akili eh?
 
Always pep rotation lose ..

Hatutaweza kufanya chochote kwa wachezaji kama aguero ,sterling ,Jesus Mendy ,shit player ambao wapo wapo tu ..

Pep asipofanya kazi ya ziada ,Chelsea atastahili kuchukua uefa ,..

No more comment

Chelsea walistahili ushindi this game


FA lose

EPL lose

Uefa ???

Kumbe sometimes akili inakukaa sawa eee[emoji23][emoji23]. Leo umeweka ushabiki pembeni umeongea kisoka hongera[emoji23].

Gardiola amemuonea sana Lamp sasa amepata mbabe wake[emoji23][emoji23]

Natamani mechi yenu na Nyukasto pia hawabanie [emoji23][emoji23] ili akili zenu zikae sawa
 
Aguero najua huko aliko anajua alichofanya...

Tunatikwa kufocus game inayokuja kumalizana na EPL ..

Alichofanya Chelsea ni sawa na mwanafunzi kupata division one kwenye mtihani wa mock ,huku maandalizi ya necta yakiendelea ..

Pep ananafasi nyingine tene kudhihilisha uwezo wake mbele ya TT ...


Kupoteza hii match ni nzuri zaidi kuliko kupoteza final uefa ..

Hope pep amejifunza ,anajua cha kwenda kufanya ..


ila why anaanza na watu kama

Ake, Mendy ,aguero ,sterling ,jesus ..



Hio ndio walipoteza dhidi ya FA ...
Na mara nyingi tuliopiga one mock exam hata necta ilikuwa the same au zaidi 90% kupata tu ilikuwa asilimia 10%.
 
Hii game imempa funzo pep ..

Hata yeye anajua kabisa ,ni bora kupoteza hii game kuliko tungefungwa final ,...

Mpaka sasa wachezeji wenyewe wameshajijua kuwa mtu kama mendy ,ake ,sterling ,aguero hawana uwezo tena wa kutupa CL ,wamepoteza FA sasa EPL ..

Hizo media zilizokuwa zinamponda pep kuwa aguero ni legend ,hapewi muda CL ,nadhan watakuwa wameona wenyewe ...


Tumalize EPL kwanza


Come on city
 
Nyie matakataka mpaka sasa najiuliza mnaujasiri gani was kucheza fainal na Chelsea..

Em kaeni chini mjitafakari kwanza..
Umeona zile bao tano za Jana ambapo tatu zilikataliwa..?!

Sasa hizo tatu mutazipata Tarehe Ile 29 ..

Narudia Tena jitafakarini upya ..maana mtajua kuwa hamjui..
 
Back
Top Bottom