Kila anayekuja mbele yetu sisi tunakula kichwa tuu, ila huu mpira unaweza shangaa man City anashinda UCL πππAisee chelsea mko vizuri, kwa mpira ule na real madrid, madrid wao wenyewe walishangaa
Kuna jambo zito litatokea fainali UCL ...
Sawa anajua alikuwa anawaonesha namna gani CL hawapangi ,kuna media zilikuwa zinawapa kichwa kuwa aguero ,sterling hawapewi nafas CL so ameamua kutua lawama ...
Mahrez
KDB
Foden
Gundo
Zincheko
Stone,
Wanamwunganiko mzuri kuzid kikosi kilichoanza ,..
Anyway hii match haina madhara kwetu ,ila imeturudisha darasan ...
Huenda tungeshinda ,MTU kama aguero ,streling ,ake tungewaona final ,kitu ambacho ingekuwa hatari zaidi ..
Come on city
Aguero najua huko aliko anajua alichofanya...
Tunatikwa kufocus game inayokuja kumalizana na EPL ..
Alichofanya Chelsea ni sawa na mwanafunzi kupata division one kwenye mtihani wa mock ,huku maandalizi ya necta yakiendelea ..
Pep ananafasi nyingine tene kudhihilisha uwezo wake mbele ya TT ...
Kupoteza hii match ni nzuri zaidi kuliko kupoteza final uefa ..
Hope pep amejifunza ,anajua cha kwenda kufanya ..
ila why anaanza na watu kama
Ake, Mendy ,aguero ,sterling ,jesus ..
Hio ndio walipoteza dhidi ya FA ...
Hodi wenye mtaa huu. Tumekuja kuwapa pole vibonde wetu. Poleni na maumivu. Kuna mtoto anaitwa Pain Killer, ni msumbufu sana mtaa wetu. Akija mumsalimie.
Alamsiki!
Jamani jamani
Simnakikosi kipana kwani, wengine hapo walikuwa wanaanza kipindi cha nyumaAguero najua huko aliko anajua alichofanya...
Tunatikwa kufocus game inayokuja kumalizana na EPL ..
Alichofanya Chelsea ni sawa na mwanafunzi kupata division one kwenye mtihani wa mock ,huku maandalizi ya necta yakiendelea ..
Pep ananafasi nyingine tene kudhihilisha uwezo wake mbele ya TT ...
Kupoteza hii match ni nzuri zaidi kuliko kupoteza final uefa ..
Hope pep amejifunza ,anajua cha kwenda kufanya ..
ila why anaanza na watu kama
Ake, Mendy ,aguero ,sterling ,jesus ..
Hio ndio walipoteza dhidi ya FA ...
Ivi wewe unategemea UEFA utabeba? Yaani ata ufanyeje Thomas Tuchel anakufunga Mara ya tatuAlways pep rotation lose ..
Hatutaweza kufanya chochote kwa wachezaji kama aguero ,sterling ,Jesus Mendy ,shit player ambao wapo wapo tu ..
Pep asipofanya kazi ya ziada ,Chelsea atastahili kuchukua uefa ,..
No more comment
Chelsea walistahili ushindi this game
FA lose
EPL lose
Uefa ???
Kumbe kuna muda unakuwa na akili eh?Always pep rotation lose ..
Hatutaweza kufanya chochote kwa wachezaji kama aguero ,sterling ,Jesus Mendy ,shit player ambao wapo wapo tu ..
Pep asipofanya kazi ya ziada ,Chelsea atastahili kuchukua uefa ,..
No more comment
Chelsea walistahili ushindi this game
FA lose
EPL lose
Uefa ???
Hivi ndo nyie tunakutana fainali uefa?Bora muingie mitini kama utopolo
Always pep rotation lose ..
Hatutaweza kufanya chochote kwa wachezaji kama aguero ,sterling ,Jesus Mendy ,shit player ambao wapo wapo tu ..
Pep asipofanya kazi ya ziada ,Chelsea atastahili kuchukua uefa ,..
No more comment
Chelsea walistahili ushindi this game
FA lose
EPL lose
Uefa ???
Kwan manshit wenyewe wanasemaje? [emoji23][emoji23][emoji23]
Na mara nyingi tuliopiga one mock exam hata necta ilikuwa the same au zaidi 90% kupata tu ilikuwa asilimia 10%.Aguero najua huko aliko anajua alichofanya...
Tunatikwa kufocus game inayokuja kumalizana na EPL ..
Alichofanya Chelsea ni sawa na mwanafunzi kupata division one kwenye mtihani wa mock ,huku maandalizi ya necta yakiendelea ..
Pep ananafasi nyingine tene kudhihilisha uwezo wake mbele ya TT ...
Kupoteza hii match ni nzuri zaidi kuliko kupoteza final uefa ..
Hope pep amejifunza ,anajua cha kwenda kufanya ..
ila why anaanza na watu kama
Ake, Mendy ,aguero ,sterling ,jesus ..
Hio ndio walipoteza dhidi ya FA ...
Matokeo yako wazi kabisa ila ni makosa ya wachezaji walio shindwa kutimiza wajibu waoSawa mkuu nimerudi baada ya dkk 90, nieleze kilichotokea uwanjani
Kanye kwanza nahis unajamba tu hapoView attachment 1778000
(2010-2021)
Hata kama mmewin, but ubora wao uko pale pale. Ubingwa wa ndani ni wetu, na Uefa ni yetu pia [emoji3]
View attachment 1778000(2010-2021)
Hata kama mmewin, but ubora wao uko pale pale. Ubingwa wa ndani ni wetu, na Uefa ni yetu pia [emoji3]
[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji91][emoji91]