The Manchester City (The Citizens) | Special Thread


hapo nimekupa kaka mkubwa maana nilijua wanataka kudhibiti timu ambazo zinataka kuwa na mafanikio kama timu kubwa kumbe wameona wenga anawapiga bao nini kwa ubahili wake..
 
pole zangu kwenu wahuku naona mwpumulia mashine hali n ngumu kwelkwel jitaidin mshinde jmo 2kuja kuwaadhib
 
mhhh mada wowote na upande wowote kitanukishwa maana gem imekaa kigegereka sana. Yoyote yule anaweza liwa/fungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…