Man utd ni wahuni tu ,ndani ya nusu saa wamebadili upepo na kumchukua cr7....
Kawaulize Alex Ferguson na ole ,..wana wivu hatariiImekuaje mkuu? Si alikuwa anakuja city?
Naona ukuni umekurudia, vp tuchomoe.?Ronaldo ni takataka ,wewe umepachikwa ukuni nyuma sio bureee
ii timu ya vibaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bakini na vibaka wenuKawaulize Alex Ferguson na ole ,..wana wivu hatarii
Our kompany.!!
Leo arsenal watajuta kuingia uwanjan
Hata wewe ukileta za kuleta tunakupelekea moto ...Unaifunga Asenane unajitapa, hivi kweli una akili ww.