Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Mna uwezo wa kuizuia Chelsea msimu huu?uwezo huo hamnaTunachukua tena league
Chelsea ndio nini wewe ,timu ya kwaida tu ,!!.Mna uwezo wa kuizuia Chelsea msimu huu?uwezo huo hamna
Huu ni msimu mpya ,so wait and see...Yani nyie matakataka tunajua ni jinsi gani munaogopa kukutana na Chelsea. Yani munatamani hata Chelsea ihamishiwe ispania Uko au italia ..lakini sisi tutaendelea kuwala hadi mjue ya kuwa mkubwa ni mkubwa tu na hapingwi wala hapangiwi.
CFC
Huu ni msimu mpya ,so wait and see...
Pimbi wewe
Hiko ni kisiki kipya ,subili utaona Moto wake soon[emoji23][emoji23]We kenge huyo alie suka ni nani?
n kibaka mwenzie na mendy nn mana ii tim ya kifala imejaa vibaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiko ni kisiki kipya ,subili utaona Moto wake soon[emoji23][emoji23]
Ederson amepigwa ban ..
Steffan ana covid 19..
Atadaka Scot kwenye game na lecister city ...
Hii ni challenge kubwa ,let us seee
[emoji23][emoji23][emoji23]tuliwapiga Everton goli tano akiwa anadaka Scot ...Mpka hapo Vardy ana goli mbili