Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
kdb hakuwa fit ,kwahiyo hiyo match imempa fitness kwa ajili ya kuvunja like daraja la london [emoji3526][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]Haya makombe ya mbuzi kumtumia De Brune ni Matumizi mabaya. Hichi ndo kinamfelisha Pep kwa mashindano makubwa
Nyie Chelsea mna defence gan ,Jana astonvilla kawala kibonga ,mshukuru mikwaju ya penalt imewaokoaWe kenge umepata mbinu ya ku unlock defense ya Chelsea?
Waurudishe kwenye sticky thread uzi wetu wa betting na hizi timu zisizo na mashabiki nyuzi ziondolewe kabisa PSG na Man City.
Kwa mpira upi kwa mfano su unaota?Hakuna Raha nyingine leo Kama kuifunga Chelsea .!
Keep watching
Tunaomba leo usikimbie uzi kipigo kinakusubili kwa aina ya uchezaji wenu ni ngumu kupata matokea dhidi ya Chelsea, teams pekee zinazomsumbua Chelsea ni zile zinazocheza defensive only.Super jackView attachment 1951903
Sawa ,kwa hiyo leo mtatufunga goli ngapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunaomba leo usikimbie uzi kipigo kinakusubili kwa aina ya uchezaji wenu ni ngumu kupata matokea dhidi ya Chelsea, teams pekee zinazomsumbua Chelsea ni zile zinazocheza defensive only.
Hilo tutalijua baada ya dk 90Sawa ,kwa hiyo leo mtatufunga goli ngapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Na bado kunguni nyinyi.Leo tuvunje mwiko, wametutesa sana hawa