The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Haya makombe ya mbuzi kumtumia De Brune ni Matumizi mabaya. Hichi ndo kinamfelisha Pep kwa mashindano makubwa
kdb hakuwa fit ,kwahiyo hiyo match imempa fitness kwa ajili ya kuvunja like daraja la london [emoji3526][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waurudishe kwenye sticky thread uzi wetu wa betting na hizi timu zisizo na mashabiki nyuzi ziondolewe kabisa PSG na Man City.
 
Our city
mancity-20210925-0002.jpg
 
Tunaomba leo usikimbie uzi kipigo kinakusubili kwa aina ya uchezaji wenu ni ngumu kupata matokea dhidi ya Chelsea, teams pekee zinazomsumbua Chelsea ni zile zinazocheza defensive only.
Sawa ,kwa hiyo leo mtatufunga goli ngapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Benardo siku hizi yupo hot ,kwa kikos Cha leo ,labda iwe siku mbaya tu kwetu ....
 
Back
Top Bottom