Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Sisi hatutaki kujua. Kikubwa mmechezea kifiro.Leo tumepigwa kiharali
Nilikuwa siijui mzee ,soma ubao nani anaongoza league ....kiazi wewePumbwvu kweli, leo ndio umejua kuna timu inaitwa liverpool
Daaaa Leo kichwani sipo sawa ,nimepigwa na kitu kizito ,natamani hata nibugie nyagi moja nizime niamke kesho ....!
Inaonekana Refa alikuwa kabetiRefa senge kweli lile na kipara chake kile
Si mmeona sasa badala ya "kihalali" kaandika "kiharali".Leo tumepigwa kiharali
Tulishawahi kukimbizana kwa point moja ,sembuse point 3 .....
Game yetu na Liverpool itakuwa kama final ....
Let's go ....
Nimeanza kuhisi kuna figisu ili City ishinde pale inapoonekana maji yamezidi unga. Dk huwa zinaongezwa nyingiMatakoh nyie pamoja na kuhonga refa dakika 9 za bure mmeongezewa bado mmekobolewa nyuma leo, na nyie leo msikie maumivu ya kukobolewa nyuma mambwa nyinyi.
Mzee jana tumefungwa ila Bado umakaza fuvu eti tunapendelewa ,uko na akili timamu kweli[emoji22][emoji22][emoji22]Nimeanza kuhisi kuna figisu ili City ishinde pale inapoonekana maji yamezidi unga. Dk huwa zinaongezwa nyingi
Mechi ya UCL final, ziliongezwa dk 7, mchongo ulikwama.
Mechi ya jana vs Spurs, ziliongezwa dk 7, dk ya 90+2 wakasawazisha kilichofuata ni kuangukiwa na kitu kizito kichwani.
Liverpool akicheza game zake ,Bado tutakuwa tunamzidi point 3....hata akija kutufunga Etihad Bado tutakuwa tunamzidi goal GD .....kiufupi Bado tutakuwa at the top [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mane
Salah
Diaz
Jota
Firmino
Bado unaota kama Itihad itakua kama final?
wakati tunakutana tayari upo nyuma points 6+ na hiyo ya Itihad ndiyo Liverpool anapewa kombe lake
Ndio mumefungwa, ila hizo dk 7 za nyongeza zilikuwa na lengo la msawazishe ambapo kweli mlisawazisha dk ya 90+2, na kama msingeotewa, mngeondoka na draw au mngeshinda kabisa kama mngekazaMzee jana tumefungwa ila Bado umakaza fuvu eti tunapendelewa ,uko na akili timamu kweli[emoji22][emoji22][emoji22]
Mzee dakika Saba ni kwa muda wachezaji wa Spurs walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda ....tatizo lako ñi mihemko tu hakuna kingine kinakusumbua ....Ndio mumefungwa, ila hizo dk 7 za nyongeza zilikuwa na lengo la msawazishe ambapo kweli mlisawazisha dk ya 90+2, na kama msingeotewa, mngeondoka na draw au mngeshinda kabisa kama mngekaza