Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuchukulie kweli ukisemacho.Mzee dakika Saba ni kwa muda wachezaji wa Spurs walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda ....tatizo lako ñi mihemko tu hakuna kingine kinakusumbua ....
Hii timu ina uzi wake kumbe? Nikiona mashabiki wake wanazurura nyuzi za watu wengine hua nafikiri hawana kijiwe chao.
Mimj ndio shabiki kindaki ndaki wa Manchester city ...Timu nzima ina shabiki mmoja ndo anashinda anatapa tapa kwenye nyuzi za watu
We tulia na limtungi lako hilo ulilobebea makamasi tele na mijino kama ya chempazee.Mzee jana tumefungwa ila Bado umakaza fuvu eti tunapendelewa ,uko na akili timamu kweli[emoji22][emoji22][emoji22]
Wameongeza 7 na ndani ya dakika Saba ,Kuna var review kuhusu penalty ,Kuna goli lilipatikana ,kushangilia na kuweka mpira kati ni wastage of time walizma kufidia ,Kane akafunga ,kushangilia na kuweka mpira kati wastage of time .....Sasa u ashangaa kwanini zilifika 9 ,hivi wewe unaelewa kweli mpira ,au mikeka inakusumbua mzee ....maana hata sielewi unacholilia [emoji23][emoji23][emoji23]We tulia na limtungi lako hilo ulilobebea makamasi tele na mijino kama ya chempazee.
Unakataa nini sasa kama Man City hampendelewi nakati kabla ya half time mliongezwa dakika 3, na baada ya dakika 90 ziliongezwa dakika 7, cha kushangaza zaidi mpira ulimalizwa dakika ya 99 + sekunde za kuendelea.
Kwa jinsi ukichaa unavyokusumbua hapa Mirembe unaona kabisa hamkupendelewa?
Kwanza chukua bilauri ya maji 1 unywee hiyo dozi yako ya methadone huenda ukapata hata akili za kuvukia barabara.
Na ile kadi mliyotoa kwa kipa wa Tottenham ( Hugo Lloris) ilikuwa na kazi gani sasa kama kupendelewa dakika 7 zote kulikuwa hakuna maana na kuzidisha dakika hadi kuwa 9 badala ya 7?Mzee dakika Saba ni kwa muda wachezaji wa Spurs walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda ....tatizo lako ñi mihemko tu hakuna kingine kinakusumbua ....
Kufungwa tumefungwa ,Bora hata tungekuwa time draw au tumeshinda ...Sasa sijui unataka aje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ile kadi mliyotoa kwa kipa wa Tottenham ( Hugo Lloris) ilikuwa na kazi gani sasa kama kupendelewa dakika 7 zote kulikuwa hakuna maana na kuzidisha dakika hadi kuwa 9 badala ya 7?
Meza methadone kwanza ili ulale labda utajitambua jinsi gani mahaba yanautesa mtungi wako huo ulilobebea meno ya chempazee na makamasi
Udhaifu wenu ni kununua marefa ili mpendelewe lakini bahati mbaya kuna wakati mpira huamua kama mpira hata kama mbeleko iwejeWakati tunakimbiza na Liverpool kwa point 1 ,alikuja Etihad akala kichapo ....sembuse point 3 ,ambapo tukipata hata draw inakuwa utofauti wa point 4 ? Mimi nasema ubingwa bado upo kwetu ...
Keep watching...
Uzuri tumejua udhaifu wetu ,we will bounce back and mantain win situation .....
Ni timu ya watoto na sifa kubwa za Watoto ni kuzurura mtaa hadi mtaa wa 7, ngoja waendeleze utoto wao.Hii timu ina uzi wake kumbe? Nikiona mashabiki wake wanazurura nyuzi za watu wengine hua nafikiri hawana kijiwe chao.
Sawa kichaa, kama VAR na kushangilia ni kupoteza muda itabidi tuiandikie FIFA barua ya kuomba kufuta hivyo vipengele kwenye mechi yoyote ili pasiwepo na mbeleko za kipumbavu kama za Man City [emoji28]Wameongeza 7 na ndani ya dakika Saba ,Kuna var review kuhusu penalty ,Kuna goli lilipatikana ,kushangilia na kuweka mpira kati ni wastage of time walizma kufidia ,Kane akafunga ,kushangilia na kuweka mpira kati wastage of time .....Sasa u ashangaa kwanini zilifika 9 ,hivi wewe unaelewa kweli mpira ,au mikeka inakusumbua mzee ....maana hata sielewi unacholilia [emoji23][emoji23][emoji23]
Nataka umeze methadone ili ukichaa wako utambue kuwa mlipendelewa, maana hakuna timu isiyopendelewa isipokuwa kuna kuzidisha hadi kuboa kama ilivyokuwa kwa Man City jana [emoji2]Kufungwa tumefungwa ,Bora hata tungekuwa time draw au tumeshinda ...Sasa sijui unataka aje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Koma kuja kwenye thread za watu na kuanza kutalk shit everytime na tittle race imeshaingia doa I don't think kama utabeba ubingwaKufungwa tumefungwa ,Bora hata tungekuwa time draw au tumeshinda ...Sasa sijui unataka aje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ubingwa tunabeba na hakuna mtu anaweza zuia[emoji23][emoji23][emoji23]Koma kuja kwenye thread za watu na kuanza kutalk shit everytime na tittle race imeshaingia doa I don't think kama utabeba ubingwa
Hahaaaa sisi ndio the champion mzee , dunia nzima inatazama ...!Nataka umeze methadone ili ukichaa wako utambue kuwa mlipendelewa, maana hakuna timu isiyopendelewa isipokuwa kuna kuzidisha hadi kuboa kama ilivyokuwa kwa Man City jana [emoji2]
Mkaze matako liver yupo nyuma yenuLeo tumepigwa kiharali
Man u hawezi kumpiga Liverpool kwani?....man u anampiga city ubingwa umepotea huo
Mimi nachoamini hata Liverpool atapoteza point ,iwe moja au zote tatu soon .....!Mkaze matako liver yupo nyuma yenu
Liverpool akicheza game zake ,Bado tutakuwa tunamzidi point 3....hata akija kutufunga Etihad Bado tutakuwa tunamzidi goal GD .....kiufupi Bado tutakuwa at the top [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]