The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Sijui City kimewapata nn jamani,hadi huruma aisee!
Wanashinda kwa kuiba mechi siku hizi wakisaidiwa na waamuzi,hata kwa Arsenal waliiba!
Ile ni penalty halali kabisa.
Kama huwezi mfunga kihalali Everton ndiyo uote kumsimamisha Liverpool huyu?
 
Najua Kuna maboya watakuja kusema handball ....

Sasa nasema hivi ile ni handball na tumechukua point 3 kama unabisha njoo PM tupigane [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sijui City kimewapata nn jamani,hadi huruma aisee!
Wanashinda kwa kuiba mechi siku hizi wakisaidiwa na waamuzi,hata kwa Arsenal waliiba!
Ile ni penalty halali kabisa.
Kama huwezi mfunga kihalali Everton ndiyo uote kumsimamisha Liverpool huyu?
Nakuona unavopata maumivu makali hadi kwenye makalio ,sisi wanaume tunachukua point 3 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nakuona unavopata maumivu makali hadi kwenye makalio ,sisi wanaume tunachukua point 3 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

4bb2c337-c385-48c9-82c0-cdd4c92bd53d.jpg

Nipishe mm,huwezi mfunga trash Everton hadi kwa mchongo ndiyo iwe Liverpool hii?
Bingwa ni Liverpool hata ww unajua unajifariji tu
 
Sisi tunataka kutengeneza kwanza team ambayo hapo England lazima watuamukie shikamoo ... CL n badae sanaaa...

Kama unabisha njoo PM ....
 
Mpaka Sasa Pep ni failure hapo city EPL hata Pellegrini alibeba kipara aliletwa achukuwe Uefa sio vicarabao cups
Sisi hatuna shida na hio CL ,tunanyoosha kwanza hao vibonde wa england mpaka wawe na adabu
 
Mpaka Sasa Pep ni failure hapo city EPL hata Pellegrini alibeba kipara aliletwa achukuwe Uefa sio vicarabao cups
Hata Mancin alichukua Epl.Lengo la kumpa kazi Pep ni achukue UCL na ndo maana Kila mchezaji anae muhitaji anapewa.Lakiniii wapii!?!?

Uefa ni ya wanaume pekee.
 
Hata Mancin alichukua Epl.Lengo la kumpa kazi Pep ni achukue UCL na ndo maana Kila mchezaji anae muhitaji anapewa.Lakiniii wapii!?!?

Uefa ni ya wanaume pekee.
Najua unateseka Sana kijana ..this is Manchester city[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hata Mancin alichukua Epl.Lengo la kumpa kazi Pep ni achukue UCL na ndo maana Kila mchezaji anae muhitaji anapewa.Lakiniii wapii!?!?

Uefa ni ya wanaume pekee.
Najua unateseka Sana kijana ..this is Manchester city[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Everton wamekata rufaa leo kupinga kupokonywa point yao muhimu!
Ni aibu sana kwa Man City kutegemea refa kumfunga huyu hoe hae Everton!
Soma ubao ,kijana ..


Ukiona inakuuma Sana kunywa sumu uende mbinguni maana hapa duniani unateseka Sana na champion of england [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom