Jaman wawepo hawa watu daaaah.Kevin De Bruyne is set to miss Manchester City's FA Cup semi-final showdown with Liverpool due to an ankle injury... with Kyle Walker also expected to be absent as Pep Guardiola counts the cost of his side's bruising win over Atletico Madrid.
View attachment 2187860
Hawatakiwi kukosa, afu mbna Jesus hakucheza kisa nn?
Ooooh hapo sawa, ila KDB Awepo jaman kesho jaman, nimeanza kuogopa km hatakuwepo lol.Jesus alikuwepo hakuna na injury yeyote na alikuwa bench,labda pep alimuweka kwa ajili ya Liverpool....kesho tunaweza kumuona anaanza
Mtajua hamjui[emoji23]Ooooh hapo sawa, ila KDB Awepo jaman kesho jaman, nimeanza kuogopa km hatakuwepo lol.
Ubingwa hamtauchukua kamwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]DAIMA mto hupita katika njia zake....[emoji1787][emoji1787]unaweza kuta nottingham forest akaja kuchukua CL kabla yenu[emoji1787]kwakua tayari njia alishaitengeneza[emoji1787][emoji1787]maana ALISHALIZOEA KOMBEKiufupi ni kwamba tulisahau kabisa kucheza mpira ,wametushambulia Sana ,lakini hawakuwa wakatili golini kwetu ...! Tulicheza vibaya lakin tumequalifie na ndio inatakiwa ...huwezi kuwa Bora kila game sometimes unakuwa out of form na ukiona una win ukiwa out of form jua kuwa ....ni tabia ya timu zinazoelekea kuchukua ubingwa
Kwani tatizo lipo wapi huyo Nottingham forest akichukua CL ,kwanza alishachukua enzi hizo hata haijaitwa CL [emoji28][emoji28][emoji28]Ubingwa hamtauchukua kamwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]DAIMA mto hupita katika njia zake....[emoji1787][emoji1787]unaweza kuta nottingham forest akaja kuchukua CL kabla yenu[emoji1787]kwakua tayari njia alishaitengeneza[emoji1787][emoji1787]maana ALISHALIZOEA KOMBE
Lengo la city ni kuburuza epl mpaka iwe Farmer league ,hatuna lengo na CL ,kama likija lenyewe sawa ila our target is epl ,upo wewe kilaza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hili kombe MWAKA huu NI LIVERPOOL AU MADRID[emoji1787][emoji1787]KWAKUA NDIO KOMBE LAO WAMELIZOEA....
Eti Villarreal eti man city hahahahaha endeleeni kuota,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kilaza kivipi Sasa?kilaza Ana CL 6 ?AU KILAZA NI YULE MWENYE CL 0?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ETI lengo LAKO NI EPL?wakati sheikh mansour analiota kombe la CL..[emoji1787][emoji1787]acha ukilaza MKUU[emoji1787][emoji1787]Lengo la city ni kuburuza epl mpaka iwe Farmer league ,hatuna lengo na CL ,kama likija lenyewe sawa ila our target is epl ,upo wewe kilaza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hizo CL 6 hazina msaada wowote kwetu ,pambana na hali yako sawa mzeee[emoji28][emoji28][emoji28]Kilaza kivipi Sasa?kilaza Ana CL 6 ?AU KILAZA NI YULE MWENYE CL 0?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ETI lengo LAKO NI EPL?wakati sheikh mansour analiota kombe la CL..[emoji1787][emoji1787]acha ukilaza MKUU[emoji1787][emoji1787]
Huyu dogo ni shabiki maandazi ajui Pep aliletwa city kwa ajili ya UEFAKilaza kivipi Sasa?kilaza Ana CL 6 ?AU KILAZA NI YULE MWENYE CL 0?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ETI lengo LAKO NI EPL?wakati sheikh mansour analiota kombe la CL..[emoji1787][emoji1787]acha ukilaza MKUU[emoji1787][emoji1787]
Huyu dogo ni shabiki maandazi ajui Pep aliletwa city kwa ajili ya UEFA
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
So far Pep ni failure hapo city makombe yote aliyoshinda hata Mancini na Pellegrini waliyabebasio lazima pep kuwin CL city ,anaweza kufeli na hatuwezi kumsahau kwa mafanikio aliyoleta hata asipowin CL ...!
Kama ni failure saizi tungekuwa nafasi ya saba huko tunaitafuta top ,usiwe mjinga ,kushindwa kuchukua CL ndio kufail ?So far Pep ni failure hapo city makombe yote aliyoshinda hata Mancini na Pellegrini waliyabeba
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app