The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hawa man shity hata fainali wakikutana na Villareal hawachomoki. Lyon tu waliwashindwa msimu ule wa juzi

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Kuwa na akiba ya maneno yako haya then 22 may tuweke kumbukizi za uandishi wako huu.
 
Man city hasemi lolote hata kwa Nottingham forest, Nottingham forest ana Ubingwa wa Uefa mmoja. Liverpool level zake ni Ac Milan,madrid na bayern tu.

Wengine mkae kimya,bado mna safari ndefu sana
Hizo historia zinakusaidia Nini Kwa Sasa ,embu niambie umuhimu wa historia katika kuiwezesha timu yenu kwa Sasa kufanya vzuri .[emoji28][emoji28][emoji28].......hio Nottingham forest yupo wapi ,au Kuna tuzo za kupewa timu zenye historia ....

in football ukishachukua kombe lolote it's over ,nothing else ,kama unafikili hizo historia za kuchukua CL zinaweza kukusaidia hata kuchukua FA mwaka huu kama hujakaza makalio kumfunga Chelsea ambaye analitegemea mwaka huu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
We kumbe kiaz sana

Nilijua naongea na mtu anayejua soka kunbe n Kiande

Chukua hii shule ya bure kabisa

Timu inapofanya vzuri inavutia investors wengi na fan base

Mfano Liverpool kimauzo ya vitu vyote na mashindano yote aliyoshiriki ameingiza mkwanja mrefu kushinda timu yoyote pale UINGEREZA

Ndio maana ss hatuingii mfukoni kusajir mchezaji ss tunatoa katka ile faidatuliyoingiza

Maana yake ninyi mnategemea pesa ya mfukoni Toka kwa waarabu

Nadhan umeelewa
 
Hakuna timu masikin uingereza kama Liverpool [emoji28][emoji28][emoji28]poor poor poor poor forever ....!


Kusajili tu mchezaji wa pound million 100 hamuwezi ,mnamuuzo gani nyie kuku ....!

Man utd ndio top kwa mkwanja ,usijipe sifa ambazo huna kuku wewe [emoji28]
 
Pain killer inabid upate mtu wa kukuelekeza mpira siyo uroporopo unaoongea

Mwenzio OllaChuga Oc mdogo mdogo anaanza kuelewa kuwa soka linaendeshwaje

Kifup wewe n shabik lakn hujui mpira kabisa
CL zako 6 haziwezi kukusaidia kuchukua Epl au fa mwaka huu .....it's past and it's over .....!


Maswala ya kuniletea Mimi mambo ya miaka 90 kudefend ujinga it's nonsense,we talk current issues ....

Madrid ana CL 13 so far but Hana malingo kama wewe kinabo ....
 
Huna pesa , poor club in the world, hamuwezi hata kulipa wachezaji 400 k per week...

Psg , real Madrid,man city .... itaendelea kulialia zinatumia pesa nying sijui kusajili ..

Mkwanja gani mmeingiza ...mmeshinda Nini mwaka Jana nyie[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Salah tuu mmeshindwa kumpa hata 350k per week [emoji28][emoji28][emoji28], BAHILI FC nyie ,kalale mzee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Falsafa ya Liverpool wewe unaijua?....ni sawa hatulipi wachezaji mkwanja mrefu....ila tunawachezaji world class...ambao wanafanya Liverpool kua team inayoogopwa zaid duniani.....kuhusu makombe ww man city team ya juzi huwezi jilinganisha na Liverpool
 
Liver mwepesi sana kwa city sema kipa ndo katuchomesha mahindi.

Kuna msimu gani Liverpool alukuwa mwepesi kwa Liverpool?
Au tuweke kumbukumbu?

Ushindi wa Man City kwa Liverpool no lazima Liverpool iwe na kasoro! Mfano Man City alimfunga Liverpool goli 5 baada Sadio Mane kula Red Card, baada ya Hapo Man City kapigwa 4 - 3 kwenye EPL na akapigwa 3 - 0 na 2 - 1 UCL.

Msimu uliopita Man City kampiga Liverpool 4 - 1 Huku Liverpool ikiwa imeathirika sana na majeruhi karibu Timu nzima kiasi ya kwamba haikuwa na msimu mzuri.

Hebu nikumbushe kwa kipindi cha PEP Man City kumfunga Liverpool game angalau 2 mfululizo? Au weka Head to Head.

Hivyo musidanganyane kuwa Liverpool ni Timu nyepesi kwa Man City wakati ukweli minajua wazi kwenye Kila msimu munazifunga Timu zote 18 isipokuwa Liverpool tu.
 
Kama historia ni rahis chukua CL hata mojaa kama unao uwezo...

Umekua team ya kuleta changamoto tuu lakin huna team ya kuchukua CL...ile inahitaji wazoefu...

Wewe na PSG ...hata mkutane na Aston villa final..vilaa ni mzoefu kuliko ww na atachukuaa.

Over.
 
Hata kocha wao hatamani kukutana na Liverpool.....

Tuna wataka tena final.
 
Mchezaji wa million 100 wa nini...huo ni uogaaa....

Nitajie wachezaji wa million mia walio wahi leta impact kwenye team yao ....

Ukilinganisha na wachezaji wa milion 30,40&50...tunao nunua Liverpool...wanaokuja kua tishio...


Mfano ...jack glerish & Luis diaz.....
Uwezo wao uwanjani...huoni kama wajinga ndo waliwaooo....


Liverpool ina magenius kwenye usajili sio wakulupukaji kama team zingine
 
Mimi binafsi nasema Liverpool hajakutana na city ikiwa kwenye moto ..... Liverpool ni timu ya kawaida Sana

Tuseme Man City ya jana ni kikosi B, je ile tuliyocheza nayo last week EPL nayo sio kikosi chenu cha moto? Je ile tuliyoipiga UCL nje ndani iliyobebea EPL kwa zaidi ya points 100 haikuwa kikosi chenu cha moto?

Ni lini hiyo titacheza na Timu yenu ya moto?
 
Ndiyo mpira ulivyo hata sisi tena kwenye fainali muhimu ya UCL Loris Karius alimpa Benzena na Bale magoli ya bure kabisa kuliko hata kipa wenu wa jana.
Yule karius ilitakiwa siku ile ile apigwe risasi kabisa [emoji28]...!

Yaan steffen Jana tu fa katulostisha na wachambuzi walishaanza kusema ilitakiwa awe ameshaondoka city miaka miwili iliyopita Kwan Hana utulivu golin ...!

Huyu angetufanyia huo ujinga CL daaa ingekuwa hatari zaidi ...
 
Umuhimu wa historia? Miaka 5 ijayo hamna UEFA champions league utamwambia nani wewe man city mtapiga sana chenga mko vizuri akakuelewa?

Weka chata mkononi
Tunacheza kutengeneza historia ya kuwa na mataji sio ulikua unapiga sana mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…