CL zako 6 haziwezi kukusaidia kuchukua Epl au fa mwaka huu .....it's past and it's over .....!
Maswala ya kuniletea Mimi mambo ya miaka 90 kudefend ujinga it's nonsense,we talk current issues ....
Madrid ana CL 13 so far but Hana malingo kama wewe kinabo ....
Huna pesa , poor club in the world, hamuwezi hata kulipa wachezaji 400 k per week...
Psg , real Madrid,man city .... itaendelea kulialia zinatumia pesa nying sijui kusajili ..
Mkwanja gani mmeingiza ...mmeshinda Nini mwaka Jana nyie[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Salah tuu mmeshindwa kumpa hata 350k per week [emoji28][emoji28][emoji28], BAHILI FC nyie ,kalale mzee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sis tunacheza mpira makombe yanakuja yenyewe na hatulazimishi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe tajiri mwisho wako ni kuchukua makombe wanayo cheza Leeds na Norwich!
Makombe ya wanaume hamyawezi kabisa
Siku zako za kilio zinakuja mkuu ni swala la muda tu [emoji1787][emoji1787]may 22Wewe tajiri mwisho wako ni kuchukua makombe wanayo cheza Leeds na Norwich!
Makombe ya wanaume hamyawezi kabisa
ni mnyoosho tu. tutapiga mtu sitaWajinga mmepata kitoga mnajipigia tu daaaah...! Nimebinya korodani weee lakini wapi Mwacity mnashinda tu, aaaagh...![emoji34]
Utabinya mbupu mpaka ukome [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mtajuta kwanini mlituacha tukae pale juu [emoji28]Wajinga mmepata kitoga mnajipigia tu daaaah...! Nimebinya korodani weee lakini wapi Mwacity mnashinda tu, aaaagh...![emoji34]
Vipi huyo Edasoni kapata klinishiti?Sasa hivi mashabiki wote wanaingia vibanda umiza wanaulizia " game ya man city
Hii ni clean sheet nyingine kwa Ederson na kumpiga gap Alison ...
FT
Man city 4-0 Watford
We go .....
Edason ndio nanVipi huyo Edasoni kapata klinishiti?
Hahahaaa! Baada ya kukosa cleansheet sioEdason ndio nan