The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hiyo Madrid Haina ubora wowote mzee labda ni vile football inamatokeo yake .....!

Any way wacha tuendelee na ligi uefa tutajiandaa next season ...!

Umechanganyikiwa wewe sio bure!
Madrid kawatoa
PSG
Chelsea
Man City
Heshimu hawa watu wewe hata Atletico alistahili akutoe,hauna uwezo wowote zaidi ya kumfunga Norwich
 
Yaani kabla ya mechi ulivyokuwa unapita kwenye majukwaa ya Watu na kujichekeshachekesha hukuamini kama utakuwa mnyonge kiasi hichi.
Alikuwa anakatiza na kanga moko kwenye majukwaa ya watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Uchambuzi bora sana huu. [emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]
 
Yaani kabla ya mechi ulivyokuwa unapita kwenye majukwaa ya Watu na kujichekeshachekesha hukuamini kama utakuwa mnyonge kiasi hichi.
Kuna maisha nje ya mpira, km wee maisha yako umewekeza kwa mpira tyuuh ni wee.
Usinipangie khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akili hauna kenge ww
 
Sasa Chelsea tunafanana nae? Yeye anazo 2 sisi je?
Yaan had Aston Villa hatufanan nae, city inatuumiza sana watu wake, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Teh teh teh teh. Hamia kiumeni achana na team mbofu mbofu hizo.
 
Alikuwa anakatiza na kanga moko kwenye majukwaa ya watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Alikuwa Mshichana Mzuri na mrembo akituringishia Mtaani kuwa hatumpati sisi sio type yake hatima kabakwa na Dereva wa Bodaboda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…