The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Oyaaaaa wewe shabiki wa arsenal hivi unapata wapi mamlaka ya kuja humu ?

Mods toeni hii takataka humu ndani ...!

Arsenal unakuja humu kufanya nini ,?????

Ukifuzu CL ndio utaruhusiwa kujibishana na sisi sawa dogo [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wewe shabiki wa arsenal tunakusheshimu tafadhari tafuta Uzi wa Spurs na westham mdiscus namna ya kuqualifie CL ...!

Humu ndani hakuna nafasi yako kabisa ,vinginevyo tutakuchukulia hatua Kali Sana za kisheria ...!

Hii ni kutokana na sheria za jf ,kifungua namba 3,ibara ya 23b

" kama timu yako haichezi CL (arsenal,Spurs ,westham ) huna mamlaka ya kuingia Uzi wa Manchester city kutype neno lolote, hatua Kali za kisheria zitachukuliwa "
 
Huyu dogo ni kima hakuna anachojua mkuu.
 
kajifunze maana ya big club kwanza.
 
Yaani mtu kakaza fuvu na picha za kimamluki et arsenal [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]oyaaa ona aibu basi ,humu ndani tunaongelea CL ..!

Mbona unajiabisha kijana
 
Yaani mtu kakaza fuvu na picha za kimamluki et arsenal [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]oyaaa ona aibu basi ,humu ndani tunaongelea CL ..!

Mbona unajiabisha kijana
Unaongelea champion league ambayo ndani ya dakika zisizozidi tatu umepigwa kamba mbili tena na mtu mmoja aisee na champion league yenyewe umeanza kucheza sijui 2012 na by the way Arsenal hatuna pesa za mafuta, tuna kocha wa kawaida na wachezaji wa kawaida lakini mambo yanasonga still big club na haina plastic fans.
 
Yaani mtu kakaza fuvu na picha za kimamluki et arsenal [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]oyaaa ona aibu basi ,humu ndani tunaongelea CL ..!

Mbona unajiabisha kijana
Madrid amekuonesha kuwa pesa za mafuta ni upuuzi tu the same alivyomuonesha PSG na bado Liverpool yupo nyuma yenu.
 
Madrid amekuonesha kuwa pesa za mafuta ni upuuzi tu the same alivyomuonesha PSG na bado Liverpool yupo nyuma yenu.
Katika timu ukizotaja hapo juu umeiona arsenal ?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

This is Manchester city baby [emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]

Siku zinakuja na utakiri kwa kinywa chako kuwa "Manchester city ni bwana na mwokozi wa maisha yako "

Biggest club in the world
 
Hata hivyo kipigo kimewasaidia kuukimbiza uzi Hadi Sasa uzi umekaribia comments 17 elfu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata hivyo kipigo kimewasaidia kuukimbiza uzi Hadi Sasa uzi umekaribia comments 17 elfu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu ni Uzi unafuatiliwa na Wana jf wote ,sema wanapita kimya kimya ....!

Timu la dunia wewe...!
 
Tatzo ni mlivyo na majigambo ndio maana tunawaandama.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisa
 
Bayern ni tim ya kilocal?
 
Pep giardiola [emoji777][emoji777][emoji777][emoji777][emoji777][emoji777]
Pep Guardiola [emoji3514][emoji3514][emoji3514][emoji3514][emoji3514][emoji3514]
Wewe hata kuandika hujui ndio unajiita msomi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah! Umempa jibu lenyewe kabisa [emoji2960]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…