The Manchester City (The Citizens) | Special Thread


kwan wanakosa nn coz most f players in first 11 wana uzoef na michuano
 
kwan wanakosa nn coz most f players in first 11 wana uzoef na michuano
hapo david silva jimanez ndio jibu,pengo kubwa sana kwao ktk mechi za kimataifa,wataishia kuwanyanyasa kina wigan,swansea,fulham,qpr,reading,southmpot nk ila wakienda ligi ya mabingwa kama silva hayupo basi hata kwa dynamo zagreb kazi itakuwepo kwao kuwafunga.
 
Jana ilikuwa balaa ilibidi nilale maana ningekufa kwa presha...

but gud one after a draw game...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…