MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,290
- 2,361
Mkuu data za pep CL zinaonesha kabisa anazidi kuiimarisha city ,na Bado tupo kwenye form nzuri tu ,ila ni swala la marekebisho tu madogo kuendelea kupambania CL ,hao vigagura wa Liverpool wanamuogopa pep mpaka wanatamani aondoke city ,maana kwa liverpool wenyewe kile ndio kikosi chao Bora Sasa wanaimarisha kikosi lakini Bado wanakutana na ukuta wa pep ,so hawana lingine la kufanya zaidi ya kushinda jf kusema pep kafeli ,aondoke city [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pep ni bonge la kocha,
UCL sio kipimo cha ubora wa kocha, kumbuka hata Roberto Di Mateo na ubovu wake aliwapa Chelsea kikombe cha Uefa.
Uefa inataka bahati zaidi, unaweza kuwa na kikosi bora na bado ukatolewa.
Kabla ya Pep kuja City haikuwa tishio sana kama kipindi hiki, Pep anachukua ubingwa huku aki-dominate, habahatishi.
Tangu ujio wa Pep City amecheza Semi Final tatu (3) na Final (1), ni kitu ambacho zamani City walikuwa wanakiota tu.
UCL kwa City ni swala la muda tu, hakuna kocha mwenye uhakika nayo, ni bahati nasibu tu.
Sina ninachomdai Pep hata akishindwa kunyayua ndoo ya UCL akiwa na City.
Acha matusi mkuu! Binadamu mwenzio tena mtz mwenzio kumuita mbwa sio sawaUnajua wewe jmaa ni mpumbavu ,Tena mjinga kiwango cha stg ...
Pep unasema ni failure..
Anauwezo wa kukupa epl back to back ,kitu ambacho man utd pamoja na kutumia pesa kibao wameshindwa haio ndio makocha walio feli sawa boya wewe .....
Anahakika wa kumaliza top 4 kwa city sio swala la kuhoji,swala ambalo Kuna timu kibao kubwa zinaota pamoja na kutumia hela kubwa kusajili .....hao ndio manager walio feli ....
Anahakikisha anamaliza msimu na kikombe hii haijalishi ,kitu ambacho Kuna timu kubwa zinatoka bila kikombe ....
Kashaiweka city level za kimataifa ,saizi kushiriki CL sio swala la kuuliza ..!
Unaweza kuhisi city hajawahi kucheza Europa [emoji28]kwani speaker za pale etihadi zimeshakaliki tone ya wimbo wa CL ....
Embu naomba niambia kocha ambaye anaweza kuiweka timu kwenye hio peak Tena england Bado ukasema ni failure?????
Harafu mbwa mmoja anamjaji pep kwa kutochukua CL na city,ni manager gani anauhakika wa kuwin CL ,mbona unakuwa mjinga wewe jamaa ,city ipo kwenye peak ni swala to la marekebisho madogo kuendelea kupigania CL ,Leo unataka aje manager gani ? Wewe ni fala Sana mbwa kabisa ....!
Kuchukua CL lazima udominate epl as much you can and one day tutakuwa na kikosi cha kuenda moja kwa moja kuchukua CL ...!
Wewe mpumbavu umekaza fuvu et pep aondoke ,ila psychology yako inaonesha kuwa ,pamoja na Liverpool kuwa na kikosi kizuri kila idara ,viwango vya kila namna mmeshindwa kushindana na pep Sasa mnaona ili muweze kudominate epl kama mnavofikilia ni lazima pep aondoke .....
Nawambia tu pep Bado yupo Sana ,na kama mlifikili huu ni wakati wenu Liverpool,basi mnabahati mbaya Sana Kwan mmekutana na kipindi kigumu mno [emoji28]
Cha mhimu pambana na timu yako kijana ,maswala ya kukaza fuvu et pep anatakiwa kuondoka kwa manufaa ya Liverpool utasubili Sana ......maana hapo england bila pep kloop angeiweka epl kwenye mfuko ....!
Kwa chance City wanazotengeneza kwa kila mechi namuona Halaand akipiga 40+ kwa msimu.
Mkuu data za pep CL zinaonesha kabisa anazidi kuiimarisha city ,na Bado tupo kwenye form nzuri tu ,ila ni swala la marekebisho tu madogo kuendelea kupambania CL ,hao vigagura wa Liverpool wanamuogopa pep mpaka wanatamani aondoke city ,maana kwa liverpool wenyewe kile ndio kikosi chao Bora Sasa wanaimarisha kikosi lakini Bado wanakutana na ukuta wa pep ,so hawana lingine la kufanya zaidi ya kushinda jf kusema pep kafeli ,aondoke city [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Gundo katoka Dortmund na pep ndio ulikuwa usajili wa kwanza ,Wewe Gongo haikufai bora kunywa Mbege tu.
Huyu Haaland ni Lukaku mweupe tu hamna kitu ndiyomana hata Bayern ambaye Dortmund ni Shamba lake la mavuno ya wachezaji basi hajajisumbua kwa Haaland.
Mkhitaryan
Kagawa
Dembele
Pulisic
Sancho
Hao wote waliwika Dortmund lakini nje ya Ujerumani wamegeuka Vituko. Kwani kuna Mchezaji yoyote wa Dortmund kwa hivi karibuni aliyewahi kuwa bora kwenye timu kubwa ya La Liga au England?
Gundo katoka Dortmund na pep ndio ulikuwa usajili wa kwanza ,
Msimu wa 2020/2021 aliyetupa ubingwa naweza kusema ni gundo ,kDB alikuwa majeruhi lakin gundo aliuwasha moto kila game alikuwa anatupia ,[emoji28][emoji28][emoji28]am sure hufuatiliagi game za citySasa huyo Guandogan si ndiyo walewale toka aliposajiliwa mpaka leo amekosa namba ya uhakika kwenye kikosi cha Pep, akianza mechi moja basi zifuatazo 5 anaingia sub.
Maneno Mengi lakini ukweli utabaki Pep is just a failure so far hapo mancity. Wining EPL back to back sio kitu cha kushangaza watu Mzee Fergie did it three years on a row. Mashabiki wa Man city bado wanamkumbuka Roberto Mancini alivyowapa EPL msimu wa 2010/2011 baada ya 44 years. Bila UEFA pep hana tofauti na Pellegrini tuUnajua wewe jmaa ni mpumbavu ,Tena mjinga kiwango cha stg ...
Pep unasema ni failure..
Anauwezo wa kukupa epl back to back ,kitu ambacho man utd pamoja na kutumia pesa kibao wameshindwa haio ndio makocha walio feli sawa boya wewe .....
Anahakika wa kumaliza top 4 kwa city sio swala la kuhoji,swala ambalo Kuna timu kibao kubwa zinaota pamoja na kutumia hela kubwa kusajili .....hao ndio manager walio feli ....
Anahakikisha anamaliza msimu na kikombe hii haijalishi ,kitu ambacho Kuna timu kubwa zinatoka bila kikombe ....
Kashaiweka city level za kimataifa ,saizi kushiriki CL sio swala la kuuliza ..!
Unaweza kuhisi city hajawahi kucheza Europa [emoji28]kwani speaker za pale etihadi zimeshakaliki tone ya wimbo wa CL ....
Embu naomba niambia kocha ambaye anaweza kuiweka timu kwenye hio peak Tena england Bado ukasema ni failure?????
Harafu mbwa mmoja anamjaji pep kwa kutochukua CL na city,ni manager gani anauhakika wa kuwin CL ,mbona unakuwa mjinga wewe jamaa ,city ipo kwenye peak ni swala to la marekebisho madogo kuendelea kupigania CL ,Leo unataka aje manager gani ? Wewe ni fala Sana mbwa kabisa ....!
Kuchukua CL lazima udominate epl as much you can and one day tutakuwa na kikosi cha kuenda moja kwa moja kuchukua CL ...!
Wewe mpumbavu umekaza fuvu et pep aondoke ,ila psychology yako inaonesha kuwa ,pamoja na Liverpool kuwa na kikosi kizuri kila idara ,viwango vya kila namna mmeshindwa kushindana na pep Sasa mnaona ili muweze kudominate epl kama mnavofikilia ni lazima pep aondoke .....
Nawambia tu pep Bado yupo Sana ,na kama mlifikili huu ni wakati wenu Liverpool,basi mnabahati mbaya Sana Kwan mmekutana na kipindi kigumu mno [emoji28]
Cha mhimu pambana na timu yako kijana ,maswala ya kukaza fuvu et pep anatakiwa kuondoka kwa manufaa ya Liverpool utasubili Sana ......maana hapo england bila pep kloop angeiweka epl kwenye mfuko ....!
Maneno Mengi lakini ukweli utabaki Pep is just a failure so far hapo mancity. Wining EPL back to back sio kitu cha kushangaza watu Mzee Fergie did it three years on a row. Mashabiki wa Man city bado wanamkumbuka Roberto Mancini alivyowapa EPL msimu wa 2010/2011 baada ya 44 years. Bila UEFA pep hana tofauti na Pellegrini tu
Sasa si ndo ufurahie tumechukua galasaWewe Gongo haikufai bora kunywa Mbege tu.
Huyu Haaland ni Lukaku mweupe tu hamna kitu ndiyomana hata Bayern ambaye Dortmund ni Shamba lake la mavuno ya wachezaji basi hajajisumbua kwa Haaland.
Mkhitaryan
Kagawa
Dembele
Pulisic
Sancho
Hao wote waliwika Dortmund lakini nje ya Ujerumani wamegeuka Vituko. Kwani kuna Mchezaji yoyote wa Dortmund kwa hivi karibuni aliyewahi kuwa bora kwenye timu kubwa ya La Liga au England?
Hawajui mpira hao, Chelsea imeanza kua tishio toka 2004, lakini imekuja kuchukua ubingwa wa UCL 2013 Tena na kocha mbovu kabsa. Afu wao wanaamini Pep kutokuchukua UCL ni failure. Acha sisi man city tuendelee kumuenjoy Pep.Pep ni bonge la kocha,
UCL sio kipimo cha ubora wa kocha, kumbuka hata Roberto Di Mateo na ubovu wake aliwapa Chelsea kikombe cha Uefa.
Uefa inataka bahati zaidi, unaweza kuwa na kikosi bora na bado ukatolewa.
Kabla ya Pep kuja City haikuwa tishio sana kama kipindi hiki, Pep anachukua ubingwa huku aki-dominate, habahatishi.
Tangu ujio wa Pep City amecheza Semi Final tatu (3) na Final (1), ni kitu ambacho zamani City walikuwa wanakiota tu.
UCL kwa City ni swala la muda tu, hakuna kocha mwenye uhakika nayo, ni bahati nasibu tu.
Sina ninachomdai Pep hata akishindwa kunyayua ndoo ya UCL akiwa na City.
Mnatulazimisha malengo ya timu zenu iwe malengo ya man city?Yaani we unafikiri huyu analetwa ili mshinde EPL na zile mickey mouse cups. PEP akikosa uefa Msimu ujao lazima kibarua kiote nyasi
Huyu dogo ni limbukeni wa soka akiishiwa hoja anaanza kutukana watu akikuwa ataachaAcha matusi mkuu! Binadamu mwenzio tena mtz mwenzio kumuita mbwa sio sawa
Kwahiyo malengo ya city ni EPL na carabao cupsMnatulazimisha malengo ya timu zenu iwe malengo ya man city?
Muda ukifika watachukua.Achana nao.Sidhani kama inaweza kufikaa 2030 Man city bila kubeba UCL.Kwahiyo malengo ya city ni EPL na carabao cups
Mashabiki wa liverfool wanamchukia Pep kwa masilahi yao binafsi maana Pep amekua ni kikwazo kikubwa kwao kwenye Epl.Unajua wewe jmaa ni mpumbavu ,Tena mjinga kiwango cha stg ...
Pep unasema ni failure..
Anauwezo wa kukupa epl back to back ,kitu ambacho man utd pamoja na kutumia pesa kibao wameshindwa haio ndio makocha walio feli sawa boya wewe .....
Anahakika wa kumaliza top 4 kwa city sio swala la kuhoji,swala ambalo Kuna timu kibao kubwa zinaota pamoja na kutumia hela kubwa kusajili .....hao ndio manager walio feli ....
Anahakikisha anamaliza msimu na kikombe hii haijalishi ,kitu ambacho Kuna timu kubwa zinatoka bila kikombe ....
Kashaiweka city level za kimataifa ,saizi kushiriki CL sio swala la kuuliza ..!
Unaweza kuhisi city hajawahi kucheza Europa [emoji28]kwani speaker za pale etihadi zimeshakaliki tone ya wimbo wa CL ....
Embu naomba niambia kocha ambaye anaweza kuiweka timu kwenye hio peak Tena england Bado ukasema ni failure?????
Harafu mbwa mmoja anamjaji pep kwa kutochukua CL na city,ni manager gani anauhakika wa kuwin CL ,mbona unakuwa mjinga wewe jamaa ,city ipo kwenye peak ni swala to la marekebisho madogo kuendelea kupigania CL ,Leo unataka aje manager gani ? Wewe ni fala Sana mbwa kabisa ....!
Kuchukua CL lazima udominate epl as much you can and one day tutakuwa na kikosi cha kuenda moja kwa moja kuchukua CL ...!
Wewe mpumbavu umekaza fuvu et pep aondoke ,ila psychology yako inaonesha kuwa ,pamoja na Liverpool kuwa na kikosi kizuri kila idara ,viwango vya kila namna mmeshindwa kushindana na pep Sasa mnaona ili muweze kudominate epl kama mnavofikilia ni lazima pep aondoke .....
Nawambia tu pep Bado yupo Sana ,na kama mlifikili huu ni wakati wenu Liverpool,basi mnabahati mbaya Sana Kwan mmekutana na kipindi kigumu mno [emoji28]
Cha mhimu pambana na timu yako kijana ,maswala ya kukaza fuvu et pep anatakiwa kuondoka kwa manufaa ya Liverpool utasubili Sana ......maana hapo england bila pep kloop angeiweka epl kwenye mfuko ....!