The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Sisi mashabiki wa city tupo kwa saana tu ndugu ya nini turndelee kupiga mayoe wakati sisi ndo watemi wa epl kwa sasa na kwa siku zijazo,kelele tumewaachia kuku wa klop.
Mpo wapi uchafu tu nyie wakati wachezaji wengine wanapo hamia kwenye timu mpya follows uongezeka ila kwenu naona kwa dogo mambo yapo vile vile [emoji16][emoji16] mna uhakika hii ni timu kweli hii[emoji16][emoji16]
 
Mpo wapi uchafu tu nyie wakati wachezaji wengine wanapo hamia kwenye timu mpya follows uongezeka ila kwenu naona kwa dogo mambo yapo vile vile [emoji16][emoji16] mna uhakika hii ni timu kweli hii[emoji16][emoji16]View attachment 2260597
Sasa hio nayo ni sababu ,huu mwaka mtateseka sana [emoji28][emoji28][emoji28]
 
ngoja nikae kimya uendelee kujiongelesha tu[emoji16][emoji16]maana nime kusapoti kweli yani.[emoji16][emoji16]
[emoji28][emoji28]nenda mzee this is platform unapost kuna watu wanaview ,ukilike au comment au ukapita kimya kimya Mimi hainihusu .....Mimi nitaendelea kupost ...maswala watu hawacomment Mimi inanihusu Nini ,oooh hakuna wachangiaji Mimi hainihusu mzee baba [emoji28]
 
Hurrrraaayyyyy!!!
[emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…