Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Msimu huu walai hatuna macheko na vifaranga na kuku wao muda tupo [emoji91]ile mbaya.Halaand
Phillips
Cucurella deal lipo njian ......
This season sijui pep atajificha wapi ,maana kuchukua PL kila mwaka nako inaboa ....
Yaani Sasa hivi fans wa city tunaboreka kuchukua PL[emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]
Mkuu huyu Luke mbete ni central back (CB) ametokea academy naona pep anampa mkataba for future ....Luke mbete naye yupo ndani ya mjengo raha inazidi kuongezeka kila paitwapo leo.
Mchezaji ataye umiza moyo wangu kuondoka city kwa sasa ni BS huyu kijana ni kiungo mhimu sana kwetu.Huyu mbete nikimuangalia ni design kama ya Ibrahim konate WA liverpool,ana mwili na nguvu ....
Tatizo linakuja hapa pep anaweza kumwamin? Pep sometimes anakuwa mgumu Sana kumwamini mchezaji ,....
Nikikumbuka otamendy alivoondoka aisee ,...
Leo pep anawaamin kina stone , Laporte,na dias kama CB na ndio maana saizi anatafut pengo la walker RB ...
Steffan naye Hana maisha pale Etihad , goalkeeper mwingine anatafutwa na soon anatangazwa ,steffan ule ujinga aliofanya kwenye game ya fa dhidi ya Liverpool kwa kumpa mane goal la kijinga nilijua tu hatakuja kurudi uwanjani Tena ....pep hapend ujinga ....Sasa arudi kwao marekani tu akacheze vilabu vya huko ....!
Bernado Silva hawezi kuindoka na pep kashatangaza kuwa is there to stay ....Mchezaji ataye umiza moyo wangu kuondoka city kwa sasa ni BS huyu kijana ni kiungo mhimu sana kwetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi kumsign means kaona ana kituHuyu anaenda kukaaa bench mpaka ataomba mwenyewe kuuzwa ,....
Sion kama anaweza kuanza mbele ya Laporte,stone au dias ....
Pep kashakalili combination ya ...
Dias ---laporte
Laporte --stone
View attachment 2271357
Kiungo pekee duniani anaeweza muweka bech rodri Hernandez ni Sergio busquetsBernado Silva hawezi kuindoka na pep kashatangaza kuwa is there to stay ....
Wachezaji wanaoweza kuondoka msimu huu ....
Jesus ( huyu Deal limeshakamilika kwenda arsenal ....
Sterling ( ku a uwezekano wa kumuacha aende au wampe mkataba mpya Bado Kuna nivute nikuvute )
Zincheko ( Kuna tetesi za yeye kutaka kuuzwa japo Nina uhakika hawezi uzwa ni bonge la LB ..
Bernado silva Bado yupo Sana na pep kasha confirm ....
Vita iliyopo ni rodri Vs kalvin Phillips
Aisee kwa Sasa rodri ndio yupo moto na ndio anamiliki pale kati ,ilionekana ni mbadala wa frenandihno...
Frenandihno kaondoka ,pep kamleta kalvin Phillips ...
Kati ya Phillips na rodri nan atamsubili mwenzake ,nan atapewa dakika nyingi ,kuhusu rotation pep haiwezi ,mchezaji anayeperfom to the maximum ndio anaenda nae ....
Kalvin Phillips uingereza unambeba ,huenda akawahi kuaminiwa na pep ,japo city mambo ya uingereza hawayapi nafasi Sana , example grealish ...
Wacha tuone ....View attachment 2271369
[emoji28][emoji28][emoji28]mkuu hapa kwa striker tuombe Mungu halaand afike na awashe moto .....Kwa usajiLi wa phiLLips sijajua pep anafikiria nn either mmoja aanzie bench au waanze woTe phiLLippS na roDri
LakiN piA InSHu ya striKer kapaTa wawiLii waTaaNza woTe kea4-4-2 au nd Rotation
TusiPoBeBa champioNs neXt Season cjuW peP aTatuambia nn cityzen imeFkia haTua mashinDano ya champioNs League nakUa sHabiK wa TiMu nyiNgne NkijuA2 guNdU LinatuFatA
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
..Kwa usajiLi wa phiLLips sijajua pep anafikiria nn either mmoja aanzie bench au waanze woTe phiLLippS na roDri
LakiN piA InSHu ya striKer kapaTa wawiLii waTaaNza woTe kea4-4-2 au nd Rotation
TusiPoBeBa champioNs neXt Season cjuW peP aTatuambia nn cityzen imeFkia haTua mashinDano ya champioNs League nakUa sHabiK wa TiMu nyiNgne NkijuA2 guNdU LinatuFatA
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Kuna possibility sterling akapigwa bei ....