Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu mna dhambi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
.unapanuliwa
Pamoja na huu usajili wa goalkeeper,Ederson Bado ataendelea kuwa namba moja ...
Kinachomuweka Ederson golin ni ile miguu yake tu ,kupiga long pass , kucontrol mpira na kupiga pass ndefu kwenda mbele ..
ila swala la kuzuia kwa mikono ,one vs one kafeli Sana ....
Je pep ataendelea kumpa Ederson dakika nyingi golin ? Maana Stefan inainonekana ni full goalkeeper
We are pleased to announce the signing of goalkeeper @stefan.ortega1 on a three-year deal [emoji3451]Welcome to City, Stefan! [emoji170] View attachment 2278391
Mkuu joe hart alikuwa bonge la goalkeeper aisee ,sijui pep kwanini alimuacha kabisa ....Pep hajawahi kuwa na mahaba na Full Goalkeeper, Ederson atasalia kuwa namba moja.
Ni kama ulivyosema, Pep anapenda keeper awe good with his feets, team ikiwa na mpira golikipa anakuwa beki.
Kumbuka Pep alimkuta Joe Hart akiwa ni bonge moja la shot-stopper lakini alikula benchi.
Mpira siku hizi una evolve, shot-stopper hawatakiwi, Sweeper-keeper ndio habari ya mjini siku hizi i.e Neuer, Ter Stegen, Alisson, Ederson n.k
David de gea anakaa benchi timu ya Taifa Spain, sio mzuri akiwa na mpira miguuni.
Deal lililobaki ni la cucurella na hapa nahisi tunasubili offer ya sterling ....
Sterling tu akiuzika basi cucurella anatua city mapema Sana [emoji91][emoji91][emoji91]..
Tofauti na hapo naona kabisa tuanenda kuanza msimu bila kuwa na mbadala wa RB maana walker asipokiwa fit mambo yatakuwa magumu hatari ....
Zincheko ni natural LB na ana nguvu Sana mguu wa kushoto .....RB atacheza Zinchenko, tatizo ni hapo atakapopata majeraha, we need backup.
Zincheko ni natural LB na ana nguvu Sana mguu wa kushoto .....
Cancelo -LB
Zincheko -LB
Walker -RB ...
Hapa anatakiwa kuja RB mwingine ,in case walker akipata injury ...
Ndio maana baada ya walker kuumia pep aliforce frenandihno kutoka kucheza mido mpaka RB ambako hajazoea akaishia kupigwa matobo na kina vinicius ...
Kiufupi uefa game zote mbili na Madrid tumehaso Sana RB ....
Zincheko na cancelo hawana na hawawezi kabisa kucheza RB utawaua
Kusema kweli tunashindwa kuwafaidi Hawa jamaa ,wanacheza wanatumia mguu mmoja wa kushoto ....wangekuwa flexible kucheza pande zote mbeli ingekuwa magoli ....!Nilikusudia kusema atacheza LB, nilichanganya,
Cancelo RB anaiweza vizuri, kiufupi Cancelo anacheza mbavu zote kwa ufasaha mzuri tu.