The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Taratibu tuta gain momentum mkuu ukizingatia hatukua na maandalizi ya kutosha pre season tulicheza mechi mbili tu
 
Daaah Philips sijui kwann pep hamuamin ,Kila siku anafanya mazoezi hata kuingia dakika za 70 Kama kina Alvarez haingii ,game Kama ya juzi na bounmounth tulikuwa na ushindi mapema ,kelvin Phillips alitakiwa kuingia pale kati ,Sasa yeye kakomaa na grealish ,....kiufupi grealish uwezo wake wa mwisho ndio ule ,yule alitakiwa kuwa msanii tu maana sura na matendo yake nibya kisanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...!

Saizi stone anasmtulia pembeni ake naona kashaaminiwa Sasa na Yuko vzuri kweli Yani ,namuona akipewa dakika nyingi hata Laporte akirudi ...

Kuhusu haaland mechi ya juzi walimkamia tu yeye ndio maana hakuonekana ....lakin kina kdb ,foden na gundo walitumia nafasi ya kukabwa na haaland kufunga ....

Saizi gundogun ndio captain ,hivyo basi tutegemeee kumuona akianza Kila game , midfielders zetu itakuwa rodri ,kdb benardo ,,hao ndio pep kawaamin hapa Phillips aombe tu mmoja aumie ndio atapata dakika nyingi ...vinginenvyo awe mvumilivu tu ....
 
Daaa namuona goalkeeper ortegad akisugua Tena bench ,maana ederson kutuko pale sijui mpaka Lin ,maana hata Hana maumivu ....

ila kwenye game za fa na carabao naamin pep atawapa nafasi ....
 
Delighted to be part of one of the best clubs in the world. A dream come true and a great challenge ahead. Can't wait to get started,


LB mwingine huyu hapa Sergio Gomez na soon atajiunga na timu kufanya mazoezi ,mkataba wa miaka minne tunaye mpaka 2026 ,Sasa mbadala wa cancelo ....katokea Anderlecht,
 
Huyu gomez ndyo aje achukue uefa hii timu ina laana siyo bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu gomez ndyo aje achukue uefa hii timu ina laana siyo bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi tunacheza football mzee ,makombe yanakuja yenyewe ,na ndio maana kwenye interview yake hakuna sehemu....! aliyosema amekuja kutupa UEFA [emoji23]
 
Philips nafasi yake anacheza na jini Rodri
 
Haaaland kagusa mpira mara 8 ndani ya dakika 74... hahahaa mara moja katika hizo ni pale alipoanzisha mpiraa
 
Haaaland kagusa mpira mara 8 ndani ya dakika 74... hahahaa mara moja katika hizo ni pale alipoanzisha mpiraa
Vipi Nunez aliishia Kula umeme [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...

ifike hatua vyombo vya habari viwaache Hawa haaland na Nunez kuwapa pressure ambazo hazipo ,.....

Umri wao unawaruhusu kufanya Mambo makubwa katika mpira ila media zinawapa pressure ....
 
Mimi huwa nasema haaland tumpe muda tu hizi pressure Zinamfanya ana lose confidence
 
Mimi huwa nasema haaland tumpe muda tu hizi pressure Zinamfanya ana lose confidence
Mkuu media z UK achana nazo kabisa ,ni full kumstress mchezaji ilimradi ayumbe tu ....

Naamin haaland anashauliwa vzuri kupuuzia ujinga wa mitandaoni ....

Hata Nunez kapanic bure game ya palace kutokana na mitandaoni huko kumjaza na kumvimbisha kichwa ,hatimaye kaishia Kula red card ....
 
Mlivyo seriously na usajili kumbe mna makombe 6 tu ya ligi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyumbu watoto laana fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…