The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

We jamaa aisee upo on fire sana. Miezi minne tu una post 3500+ baada ya miaka miwili utampita Numbisa na Mshana Jr . Afu post zenyewe pumba tupu.
Kumbe unanifatilia sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niongeze dozi au mpka Mama Cita laana fc tuchukue uefa
Ila ww una post 7000+ tuishi humo tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Timu inayosumbua England inafanya ligi ya England ionekane dhaifu timu iliyomkimbiza babu Ferguson hakika Manchester city mmeimalika [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Chelsea huko kapigwa 3 safi kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama kasimama
 
Daaa defence yetu inavuja kabisa ,ila stone na ujinga wake wa kukabia macho [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Newcastle wapo vzuri ,tukijutahid sana labda draw ,ila hatuna beki kabisa ....


Bora ake .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…