The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Ila city tunatoboka sana yan mechi 2 tumepigwa goli 5 hii so ishara nzuri....all in all pointi 3 kibindoni,,goli 3 kibindoni mwa haaland
Hatuna solid defence aisee ,Leo pale kati viungo walishindwa kuwasaidia kina Stone na dias ,ndio maana ulikuwa unaona ukuta unavuja ....

Bernado Silva huyu mtu apewe mkataba wa kidumu kabisa ,maana sio kwa movement zile .....
 
Hatuna solid defence aisee ,Leo pale kati viungo walishindwa kuwasaidia kina Stone na dias ,ndio maana ulikuwa unaona ukuta unavuja ....

Bernado Silva huyu mtu apewe mkataba wa kidumu kabisa ,maana sio kwa movement zile .....
Binafsi nitawashangaa sana wakimruhusu mwamba akaenda barca
 
Gundogan ndo mchezaji ambaye anaweza kumchezesha haaland kwa sasa pale city..pia Julian Alvarez yupo vizuri alivyoingia amesaidia kuivuruga safu ya ulinzi ya palace
 
Gundogan ndo mchezaji ambaye anaweza kumchezesha haaland kwa sasa pale city..pia Julian Alvarez yupo vizuri alivyoingia amesaidia kuivuruga safu ya ulinzi ya palace
Daaa sijui pep kawaza Nini kamtoa Mahrez kamuweka Alvarez halafu Bernado akapanda kule juu so Alvarez anaweza kuanza kuwa anatokea pembeni ....maana pale kati kati sion Kama anaweza kumtoa haaland ...!

Soon tutaanza kuona combination ya haaaland na Alvarez [emoji23]
 
Umeanza kuwa shabiki maandazi asiyekuwa na uvumilivu.[emoji23] Ulisema atolewe.
Kipindi Cha kwanza kacheza vibaya but Alvarez ndio kaingia kuleta chemistry nzuri ,...


Soon tutaanza kuona combination ya Alvarez na haaland...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…