Magoli ya Haland papatupapatu kama Lukaku tu.Yap dogo inatakiwa atambue kuwa tuna jini La magoli pale kati
Unat0mbw@ wewe.K****a sana wewee ushabiki wa kingesee
Tatizo tunaendekezaga ushabiki wa kishamba embu angaLia consistency ya m2 afu unasemaje et epL
Hahaaaaaaa arsenal tunalala nao mbele kwa mbele mpaka kieleweke ...japo mimi kichwani nawawaza Liverpool....Manchester city is blue [emoji838][emoji838][emoji838] timu iliyoleta mapinduzi England tunatetea ubingwa wetu tena [emoji838][emoji838][emoji838]
Kwa muda mrefu sana tumekosa mchezaji wa kuweza kutupa magoli ya hivo ,kina sterling walikuwa wanatuudhi sana kwa kukosa nafasi za vile wakati timu ipo nyuma na tunahitaji ushindi ....Magoli ya Haland papatupapatu kama Lukaku tu.
Kusema kweli swala la kufungwa kwanza ndio tunafanya come back litakuja kutua [emoji23][emoji23][emoji23]...Ushabiki ni shida unaweza kuugua kisukari ghafla walai.
Mkuu epl sio mchezo ,hao palace walimfanya kitu mbaya Liverpool pale anfield ,so siku hizi hakuna timu ndogo Wala kubwa ,cheki jana fulham walivompa changamoto arsenal ....Yote kwa yote niseme acha tupambane vita bado ni kubwa mbele yetu naona timu nyingi zinatukamia ile mbaya, jana niliugua ghafla aisee na kufunga simu kabisa nimekuja kucheki kumbe kibao kiliwageukia na aibu kuwarudia.
Kweli jamaa atafunga sana kwa mpira wa city na nafasi jinsi zinavyotengenezwa ,ila jamaa ninachomkubali halisi magoli hovyo na anajua kujiposition.Kwa muda mrefu sana tumekosa mchezaji wa kuweza kutupa magoli ya hivo ,kina sterling walikuwa wanatuudhi sana kwa kukosa nafasi za vile wakati timu ipo nyuma na tunahitaji ushindi ....
Kwa viungo wetu mkuu lazima mtu Kama haaland ambae ni tap-in scoring goal ahitajike ,cheki movement za kina Silva ,foden ,gundo ,kbd ,harafu mbele awepo mkosa kosa nafasi unategemea Nini ....
Kwa taarifa yako ,tumekuwa tunakosa finisher mzuri kwa miaka mingi baada ya aguero kutoka lakin clear chance zimekuwa zikipotea ...!!
Sawa halaand ni tap -in goal ,na system yetu ya mpira inataka mtu wa hivo ,kwan kuna viungo wa kuvunja vunja defence Line na kuchezea kwenye box la mpinzani bila kuchoka ...
Kwa nafasi tunazotengeneza tegemea kuona magoli mengi ya haaland ya namna hio ...
Haaland akikutana na timu inayofunguka kucheza atafunga magoli kama goli la nne lile ,ila akikutana na timu wanayobaki nyuma lazima afunge tap-in goal ...Kama uliona jana baada ya 3-2 crystal palace walifunguka kwa namna flani Kama wanataka kurudisha ndio maana ukaona lile goli la nne ambalo wengi wanaona Kama ndilo haaland alirun vzuri ,....
Utampenda zaidiKweli jamaa atafunga sana kwa mpira wa city na nafasi jinsi zinavyotengenezwa ,ila jamaa ninachomkubali halisi magoli hovyo na anajua kujiposition.
Haaland kamatia hapohapoTop scores PL kwa Sasa...View attachment 2337793
Kwan kumpata hamuwez si toweni 150 tuwapeIla kudadeeki tungempata cucurella asee Kule kushoto kungekua hapashikiki cancelo/cucu
Huo upuuzi hatuna....tumewaachia cheltako mfuje pesa halafu performance sifuriKwan kumpata hamuwez si toweni 150 tuwape