Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Haaland asipopata majeruhi basi atafunga sana magoli ....Game 8 Goals 14 kwa Halaand Mhhhhhhhh wakati Goal Score season nzima unakuta may be ana 28 goals in 38 Matches
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hhh!...mkuu arsenal salamu zetu wanazo tayari. ila mchezo wetu na wao hautakuwa mwepesi maana sahivi wana timu na wanacheza mpira nimeangalia game zao na ata hii ya mwisho dhidi ya Spurs...
Yule kijana ana Accuracy kubwa sana ya kufumania nyavu, tunawasubiri na nyie mkuu...tufunge hesabu mapema tu kwa kukaa kileleni kwetu pale.Game 8 Goals 14 kwa Halaand Mhhhhhhhh wakati Goal Score season nzima unakuta may be ana 28 goals in 38 Matches
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mwisho wa siku kawaweka Chuma.3 safi na Assist.2 konki.Leo haaland akifunga atakuwa mwanaume maana Yale maneno yake ,timu nzima Leo inaenda kumkamia mpaka kucha [emoji23] hii ni nafasi Bernado ,kdb kuwafunga united ....
Sasa leo ata huyo maguire mwenyew katokea benchi mkuu nin shida ilikuwa???
Hhh!...jamaa wamekimbia baada ya chuma.4 tu za 1st Half....Mashabiki wa Man u wanaondoka kwa hasira. Hii ni disaster. Wamekosa uvumilivu.
Naanza kusikia huruma. Huyu Halaand ni li jini kubwa sana, a big Big mamywater
Mkuu wamejitahid Sana kumzuiaSasa leo ata huyo maguire mwenyew katokea benchi mkuu nin shida ilikuwa???