The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

A
Jamaa yuko vzr..kuna watu walimbeza lkn Akanji beki mzr sana na imekua addition nzr sana kmy team.
Kapatikana kwa €17million tu...nawaambiaga watu kuwa wachezaji wazur wapo sana na wabei nzuri ila kikubwa inategemea na Scouting ya timu, Jicho la kocha na kuepuka Promo za media.
 
Kituo kinachofata ni copenhagen fc...marehemu ajaye
Hapa sasa mkuu...tuwachezeshe kina alvarez, mahrez, na Sergio gomez. Bwana haaland ampumzishe lakini kama kocha ataona kuna umuhimu wa kumchezesha haaland sio mbaya ili aongeze magoli maana anakimbizana na WATU NA NUSU(Benzema na Lewando) so anaweza cheza ata kwa kipindi kimoja na kumpisha alvarez naye awake.
 
Guardiola kasema atafanya rotation ya kikosi kwaiyo tuwategemee kina mahrez,Alvarez,laporte na Diaz na gomez
 
Ili ichi kitasa jana kimewakazia sana united adi wamekipost...akiwemo rashford kawekwa mfukoni swafiii kabisa

 
#RESPECT to HomeBoy Haaland...tayari
Keshatengenezewa Art yake safiii katikati mwa mji wa Manchester.

 
Hii
Guardiola kasema atafanya rotation ya kikosi kwaiyo tuwategemee kina mahrez,Alvarez,laporte na Diaz na gomez
Nzuri sana kuwapumzish vijana maana game za EPL ni ngumu...ukizingatia tuna game na Liver na Asenal kabla ya likizo ya WorldCup!!!
 
Jezi za haaland maduka ya manchester Zauzwa kwa wingi...
 
Kalvin Phillips kafanyiwa upasuaji wa bega kwaiyo jamaa ni out,stones out,walker out,rodri out..

Hali kama hii kwenye mwezi huu ambao ni mechi kila baada ya Siku tatu inaweza ikatu affect hasahasa eneo LA kiungo ambapo natural DM wote ni majeruhi ambapo mikoba kashika gundo....
Gundo nae umri unaenda hatakiwi kupiga mechi back to back atahitaji kupumzika...


Kyle walker bado haijajulikana ukubwa wa tatizo lake ...stones atarejea kabla ya world cup....

Kwenye back line sina shida sana coz tuna msururu wa mabeki...hapo kwenye midfield sasa...tuombe gundo nae yasimkute
 
Nafikiri haina haja ya kuwaza sana...pep yupo smart sana atang'amua hili...kama umeona vizur jana Gundo kacheza Holding lakini muda mwingi Bernado alishuka chini kumsaidia kama Deep Lying PlayMaker.
 
Sasa kama hadi Moja ya mastriker hatari duniani wa kizazi chake #LuisSuarez anamkubali Haaland...nani wa kupinga.

#GameRECOGNIZEGame

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…