Kuna huyu DM tunayetaka kumsajili anaitwa Maximo perrone, yuko aggresive balaa ana kadi za njano 13 kwenye mechi 33 alizocheza senior team.Rodri siku hizi anacheza kibabe Sana ,kutoka na kadi ga njano ni kitu cha kawaida [emoji3][emoji3][emoji3060][emoji3060]
Inawezekana tukampata hata January hiihii japo pep amesema hawana mpango wa kuongeza mchezaji dirisha hili.Dili la Leao naona linakuwa serious.....tunaweza kumdaka summer
Nimetoka kumfuatilia kwenye mechi za sheffield. Ni kiungo mzuri.Dogo James McAtee anaupiga mwingi. Jana kapiga bonge la solo goal.
Huyu anarudi city ..Dogo James McAtee anaupiga mwingi. Jana kapiga bonge la solo goal.
Huyu nimeona newcasttle na wolves walikua wanamtaka ila na sisi tukaingia dakika za mwisho.Macho ya scouts yamehamia south America.
Manchester city are on the verge of signing Velez sarsfied midfielder, Maximo Perrone (19).
That's according to transfer insider, Fabrizio Romano who claims that city are about to pay perrone's release clause which according to him, stands at around £6.6 million with the "here we go expected soon".
The argentine will join up with city after 2023 south American U-20 championship in Colombia.
The Transfer Travern.
Mwanzoni mwa msimu hakuwa kwenye form ila baada ya WC anakichafua balaa..Huyu anarudi city ..View attachment 2463418
Kalvin kaambiwe akate wese kwanza[emoji16]Huyu nimeona newcasttle na wolves walikua wanamtaka ila na sisi tukaingia dakika za mwisho.
Naona atatolewa kwa mkopo kama tulivyofanya kwa Alvarez msimu ulioisha sababu tayari kuna Rodrigo na kalvin phillips.
Ni future project.
Sasahivi asharudi kikosini na ana train na wenzake na guardiola baada ya mechi ya leeds alimsifia kwamba yuko kwenye good shape.Kalvin kaambiwe akate wese kwanza[emoji16]
Eee anasema kawa sexy[emoji3]pep banaSasahivi asharudi kikosini na ana train na wenzake na guardiola baada ya mechi ya leeds alimsifia kwamba yuko kwenye good shape.
Tupo asee za kupoteaWakuu mpo jamani!
Grealish tena dah!!!.Ingizo jipya moja tu Leo.........walker cancelo foden benchi kama kawa
View attachment 2464542
Njema aisee , wenye kombe letu tumerudi na tunalitaka badoTupo asee za kupotea