King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,077
- 2,705
Wew boya goli kafunga nany!
Kwa mashabiki wa city wanaojielewa na kuongea ukweli wew Ni mmoja wapo mkuu. Lakin huyo Harry kane mjue akitoka Tottenham mnabato kubwa kati yetu nanyie kumchukua, Kama guardiola akimtaka.Kiukweli kwa mpira tunaocheza, Harry kane ndio alikuwa chaguo sahihi kabisa.
Ukiachana na uwezo wake wa kufunga, anatengeneza nafasi za kufunga pia na ana uwezo mzuri wa kuplay part kwenye build up.
mtu kama huyu angetufaa pale mbele.
Haaland yeye ni wale old fashioned strikers ambao wanasubiri final passes waweke kambani na si zaidi ya hapo.
uwepo wa mtu kama huyo kwenye timu inayocheza pasi nyingi kunapunguza ile fluidity ya uchezaji wa timu.
ndicho kinachotokea city
sasahivi.
Toka msimu huu uanze, ile signature style of play ya man city ya misimu yote haipo tena.
Timu inacheza kwa kutegemea kumlisha haaland huku yeye mwenyewe akiwa yupo tu pale kati anasubiri kufanya tap in.
Timu ikibanwa, haaland anakuwa useless.
Kiukweli kama tukiendelea kustick kwenye huu mpira wa pasi nyingi basi alvarez ndio atatufaa zaidi.
Ana uwezo wa kutengeneza nafasi, ana high pressing ability na ana uwezo wa kufunga.
Ama tuswitch kwenda kwenye direct football ambao ndio style inayofaa zaidi kwa mastraika aina ya haaland.
Pep kashafeli CL na kapewa miaka 2 ya nyongeza kama bonus ,maana inaonekana anaweza kutupa epl so once ataanza kutoka kapa bila kombe lolote ,will be sacked ...I think you guys should forget to win UEFA at least for the next two seasons.
Pep mpe heshima yake ....Pep Guardiola is overrated Manager. Always hiding himself on the bush of oily money. I wonder why people are comparing him with Don Carlo. Very stupid.
Alhamisi lazima watukamie ....Spurs wanagongeshwa kama watoto ila tukija kucheza nao sisi sasa......
Kaka si tulisema Arsenal anacheza na vibonde tu hajakutana na big six? [emoji23][emoji23]Arsenal anashinda easy kabisa na ni dalili ya ubingwa kwake...
Sikutegemea arsenyani amalize game kirahisi namna ile..Arsenal anashinda easy kabisa na ni dalili ya ubingwa kwake...
Arsenal anakimbia mbio zake mwenywwe Kwa Sasa Kwa hiyo Kuna muda atakuwa hakamatiki Tena ,na wote watanyoosha mikono juu .....Sikutegemea arsenyani amalize game kirahisi namna ile..
Komaeni na UEFA tu, huku kwenye ligi mtabaki kupiga ramli tuArsenal anakimbia mbio zake mwenywwe Kwa Sasa Kwa hiyo Kuna muda atakuwa hakamatiki Tena ,na wote watanyoosha mikono juu .....
Winning spirity Kwetu ishapungua ,na ni katika ya kipindi kugumu mno ambacho ndicho tungepunguza point ,lakin ndio hivo ...
Pep kashasema hajali Tena league ,japo psychologically Bado anapambania ,mind game ....game ya spurs inaweza kuamua kama title contenders au top four contenders ,maana man UTD juma tano anampiga crystal palace na anapanda juuu nafasi ya 2 .....
Pep anakazi kubwa Sana kurudisha winning mentallilty Kwa wachezaji ,kuwapa roho ya usimba uwanjani ,kitu ambacho wachezaji wetu wamepungukiwa ....
CL ni kamali mzee ,kule hakutabiliki[emoji3][emoji3][emoji3]Komaeni na UEFA tu, huku kwenye ligi mtabaki kupiga ramli tu
Game ya spurs itaamua kama kweli tunaweza kupambania epl ....kusema kweli inaoneka upepo haupo kwetu ....arsenal sometimes hata kama wapo weak but wanapata easy winEeeehuuuuu! Wakuu nachoamini bado tuna nafasi ya kutwaa Epl hii miruzi mingi isitupotezee mwelekeo .
Diaz amekua uchochoro tu siku hizi au ni injury?Some good news:
Ruben diaz & John stones have returned on training....
Bad news
Kevin de bruyne was absent on training amid injury fears.