Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Kwa Sasa ake ndio solid defender...wengine wote wanajificha kwenye possession,....Defence yetu inavuja sio kwamba mabeki wetu ni wabovu, ni kwasababu hakuna muunganiko pale nyuma hasa kwenye center back. Tuko disorganized.
backline haija settle kila mda inafanyiwa rotation wachezaji wanakosa muunganiko.
Toka pep amekuja city ni msimu 1 tu ambao tulikuwa na solid defence, 2020-2021. Timu ilikuwa na backline ya center backs inayoeleweka, Ruben Diaz na Laporte bandika bandua.
Hata ukiangalia timu yoyote ile yenye au iliyowahi kuwa na solid defence, lazima kuna wale regular starters ambao wanatengeneza muunganiko na ndio wanakuwa mhimili nyuma. mfano
Real madrid (Ramos & Varane)
Liverpool (Van Dijk & Matip)
Chelsea ( Thiago silva & Rudiger)
Juventus (Cherllini & Bonucci)
City hata huwezi ukatabiri nani anaanza.
una Akanji,Laporte,Stones,Ake,Ruben na wote hakuna regular starter.
Kwa style hiyo hata angekuwepo Rio ferdinand au canavarro tungevuja tu sababu defence as a whole unit haiko organized, haina combination.
Tukipoteza mpira unaona kabsia jinsi defender wetu wanavokuwa exposed ....