fakenology
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 999
- 672
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majirani mpo......teh teh teh poleni sana shetani hakunywa Damu yenu muda mrefu sana
City mmekuwa uyoga juani. Mkome kuchukuwa magarasa yetu. Clichy kawakosti magoli yote mawili ya kwanza ama sivyo mechi labda ingekuwa tofauti. Nadhani mmeshagundua kwa nini Arsenal walikubali mshiko toka kwenu upesi upesi? Visima vya mafuta vitakuwa vinakauka Uarabuni. Baada ya Visima vya Uarabuni kukauka itakuwa zamu ya visima vya Siberia kukauka then mtaona ule uyoga wa darajani nao utakavyodhoofika then kufa.
Cc Ntuzu, Mentor #The Chelsea FC Special Thread
Mimi napita majirani zangu wa mjini narudi kijijini kwetu kujiandaa kuvuka daraja
Hongera sana Aguero kwa Hat trick....ManCity 5-0 QPR
4' 50' 65' Aguero
32' Kolarov
67 ' Milner
huwa nafurahi sana aguero anapofunga, muache achukue kiatu he is a real fighter, sio lile daladala la darajani