The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Just be careful, you might be 3rd in the coming 3s.

yaah hilo ndio la msingi maana asenal wanajua kutengeneza magoli sana yaani tunakazi ya ziada hapa na ili ligi iwe ngumu ni kumfanya huyu shetani asiwejuu mpaka krismas..
 
Nafikiri walikuwa wanadhani kila siku ni jumatatu ya droo! Safi Chelsea! Kesho kutwa bila shaka kifinyo kitaambatana nao tena! Mpaka warudi anga zao,yani nafasi ya 5,6,7 na hata 8. Shwaiin sana hawa wala tende ya kiarabu!
 
Nafikiri walikuwa wanadhani kila siku ni jumatatu ya droo! Safi Chelsea! Kesho kutwa bila shaka kifinyo kitaambatana nao tena! Mpaka warudi anga zao,yani nafasi ya 5,6,7 na hata 8. Shwaiin sana hawa wala tende ya kiarabu!


Duuh hata Liverpool leo anashangilia Chelsea!!.......kweli ManC waliwaudhi sana mashabiki........
 
Chelsea-v-Man-City-Lampard-full-time_2690423.jpg
 
yaah hilo ndio la msingi maana asenal wanajua kutengeneza magoli sana yaani tunakazi ya ziada hapa na ili ligi iwe ngumu ni kumfanya huyu shetani asiwejuu mpaka krismas..

Yani hilo halizuiliki kaka before Xmass lazima Man Utd iwe kileleni, tena shukuru sana Tot Spurs walifungwa last match manake mngerudi nafasi ya 3 huko.
 
Nafikiri walikuwa wanadhani kila siku ni jumatatu ya droo! Safi Chelsea! Kesho kutwa bila shaka kifinyo kitaambatana nao tena! Mpaka warudi anga zao,yani nafasi ya 5,6,7 na hata 8. Shwaiin sana hawa wala tende ya kiarabu!

Sasa umehamia Chelsea?
Jana Pressure yangu ilikuwa juu hata Mpira sikutaka kuuangalia maana nilishasoma alama za nyakati mapema. Tumekuwa adui wa kila timu, kisa ni kile kipigo cha sita moja.
 
Nafikiri walikuwa wanadhani kila siku ni jumatatu ya droo! Safi Chelsea! Kesho kutwa bila shaka kifinyo kitaambatana nao tena! Mpaka warudi anga zao,yani nafasi ya 5,6,7 na hata 8. Shwaiin sana hawa wala tende ya kiarabu!

pole sana kwa msiba mkuu looserfool fc...
ngoja uone tutakavyo mshushia kisago wacha1 anaenitisha ni mmoja tu vanMpire tu wengi shudu tupu..
pole sana kwa kipigo cha fulham bwana..
:A S-coffee:
 
Back
Top Bottom