Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,951
- 1,446
Mwisho wa enzi??????
Sasa ndio naamini kama mechi bado sana na mwaka haujaishi kama wengi wanavyosema city atachukua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa enzi??????
...........................anaachiwa Ngoswe!!!!!!!!!
Ila goli la Ji linauma sana jirani.......
Sure! Ni kama yale mabao ya "sudden death", inauma sana.
Hahahahah lol! GUNNERS tumeshakuwa timu ndogo eeh 🙂🙂 jana nilisikia ulikuwa unaumwa 🙂 unaendeleaje leo? 🙂 umeangalia juu yako kuona nani yuko kule? hahahahah lol! Happy New Year Mkuu.
....Mie le nilishahesabu Man City wanaweka kapuni points nyingine tatu na hivyo kutimiza point 48 lakini haikuwa hivyo!!! Kweli mpira hudunda!!!!
Sure! Ni kama yale mabao ya "sudden death", inauma sana.
sijui chama limefikia peak sasa linaanza kushuka na wiki hii kazi tunayo sana..
viva la city
Bonge la counter attack......Hahaaaaaaaaaaaaaa
Pole sana Ndetichia & Co.......Hongera sana kwa Sunderland
Leo njaa tu nawaombea...
Ha...ha...ha..haaaaaa!!!! Like Man City like Man U.
Reality has hit home!
Sasa ndio naamini kama mechi bado sana na mwaka haujaishi kama wengi wanavyosema city atachukua
Kukwanyuliwa kamoja huwa inaumababa hii ni zaidi ya maumivu kwani goli dk za nyongeza duu.. ngoja tuone huko mbele mbele..
wabongo bwana timu ikifungwa mechi moja tu kocha mbaya, binafsi si mshabiki wa Man City ila nameheshimu sana Macin kwani ni kocha mzuri sana anayejua mbinu za soka la kisasa. angalia record yake hata alipokuwa interTimu yenye wachezaji wazuri mpaka sasa ni man city lakini coach hawana nilisema mwanzo na hawana plan B wakikabwa ndio hivyo tena wategemee individual talent Mancini hawezi kuipeleka timu mbele wao wananunua wachezaji kuuwa upinzani sio kubuild timu