The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hope spurs watatunyamazishia watu humu[emoji23][emoji2]
Hii game ilitakiwa ianzie pale etihad ili tukienda kwao tunajua cha kufanya, ikianzia kwao ikaja kwetu wanajua cha kufanya. Ila tukiwapiga goli 4 hapo kwa itatupa njia nzuri hapo kwetu. Maana suluhu ya 0-0 hapo kwao inawapa advantage wakija kwetu, suluhu ya 1-1 hapo kwao maana yake suluhu ya 2-2 etihad tumetoka. Tushinde kwa big margin hapo kwao au suluhu ya 4-4 hapo kwao itakuwa pop.
 
Hii game ilitakiwa ianzie pale etihad ili tukienda kwao tunajua cha kufanya, ikianzia kwao ikaja kwetu wanajua cha kufanya. Ila tukiwapiga goli 4 hapo kwa itatupa njia nzuri hapo kwetu. Maana suluhu ya 0-0 hapo kwao inawapa advantage wakija kwetu, suluhu ya 1-1 hapo kwao maana yake suluhu ya 2-2 etihad tumetoka. Tushinde kwa big margin hapo kwao au suluhu ya 4-4 hapo kwao itakuwa pop.
Ikianza kwaio ndio vzr
Ilituwapige ugenini, nyumban kieleweke.
Pia itakuwa inachezwa kwenye ule uwanja wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikianza kwaio ndio vzr
Ilituwapige ugenini, nyumban kieleweke.
Pia itakuwa inachezwa kwenye ule uwanja wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukianza kwetu tukapigwa goli 2, tunakuwa tunajua tunaenda kufanya nn kwao. Unakuwa unajua unaenda kutafuta goli tatu au zaidi. Ila ikianza kwao inakuwa advantage kwao.
Ila kwa kuanza kwao inapendeza sana kama ni droo basi iwe ya magoli mengi. Mfano 4 - 4, maana wakija kwetu na ikatokea droo ya 1 - 1 ama 2 - 2 ama 3 - 3 tumepita. 4 - 4 extra time. Hakuna droo ya 5 - 5.
Kumbuka mpira una first leg na second leg.
All in all haya jamaa hatutawaacha na hao juve wajiandae tu. Ila tuwashukuru sana majirani zetu man u kwa kuwatoa PSG na tuendelee kuwaombea wawatoe na hao Barcelona.
 
Mkuu vuta picha totenham anachowaza.
Yeye anahofu kubwa kuanza kwake.
Hawezi kusindwa hv hv labda kwa sbb watakuwa wanafungua uwanja. Ila ni ngum sana kwao.ata ikiwa sare tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20190316-074042.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom