The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hii man city itakuwa ya kawaida sana msimu huu ..yani ata Norwich akikaza anajipatia point apa..
 
Inasemekana total football sio nzuri kwenye UEFA, kuna baadhi wanadai timu zinazocheza Total football haziwezi fua dafu mbele ya timu ambazo hazina tiki-taka
Ni kweli kabisa,maana timu huwa zinafocus kupta matokeo hasa kwenye mtoano, mpaka fainali,timu nyingi huwa zinajilinda Sana na kushambulia kwa kuvizia.
 
tapatalk_1567099397722.jpeg
 
Hizi takwimu ni kama wanatuchuria kila mwaka probability unaambiwa city daaah
IMG_20190829_204402_058.JPG
 
Back
Top Bottom