The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Moment za aguero ambazo hata yeye binafsi hawezi sahau ni msimu wa 2011/2012 kwenye game na QPR.....

Huu ni msimu ambao nadhani project ya sheikh mansour ilikuwa inaanza huku Robert mancin akiwa kwenye ubora wake ,ni msimu ambao city ilikuwa inafanya sajili kubwa kubwa huku ikionesha project nzuri na endelevu .........

ilikuwa city iliyokuwa inasajili wachezaji mastar ,kina Silva ,dzeko ,ballotel ,aguero ,nasri ,robiho,vicent kompany,....Walitua city

ballotel na utukutu wake wote ile game na QPR alikorofishana na mchezaji mmoja wa QPR aisee nilijua ballotel anaenda kula red ,lakin huwezi Amin ballotel alitulia ,na akawa mpole yule mchezaji akala umeme pekee yake ...!

Huwezi Amin ballotel katika historian yake ya mpira pale city hakuwa kutoa assit ,lakin siku hiyo ndio assit aliyotoa kwa aguero na kumaliza game ....

Ni msimu ambo united hawatakuja kusahau kwenye historia ya mpira ,kwani ile siku man UTD walikuwa wameshashinda game vs sanderland huku wakisubili kombe la epl kulichukua , wakiwa wanajiandaa na sherehe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].....

Ndege iliyokuwa imebeba kombe ilikuwa ipo angani haijui la kufanya iende OT au etihadi !!!! ...lakin rubani alikuwa ameshapigiwa simu apeleke kombe OT ,.....

Wakati man city tukiwa tunatapatapa hapa na pale ,90min ,zimeishia ,zikaongezwa tatu .....2min zikaisha ...3min ikafika ........daaaa muda huo tunawachezea nusu uwanja , QPR wamepaki bus hatari ,ingekuwa kibongo bongo tungesema wale jamaa wametumwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...mpira unatoka nje ,nasri anakimbilia haraka ,anaurudisha uwanjani ,zinapigwa pass hapa na pale ,ndani ya box ,fans wote wa city wamenyanyuka hawaelewi kinachotokea kabisa uwanjan ......super Mario ballotel anatoa assit ya kwanza kwa aguero kwenye angle ngumu ,aguero anaweka kamban ....90+3min ...aguerooooooooooooo!
City tunachukua epl kwa mara ya kwanza .....

Mancin ndio akavunja utawala wa furgason pale epl ,kuanzia hapo city ilianza kutoa kipigo cha mbwa Koko msimu unavoanza huku mansour akizidi kuimalisha management ,mara pep guardiola akatua Etihad .....!


Unajua Nini kilifuata , furgason ndio alikuwa akitawala pale England ,na ulikuwa huwezi sema chochote kuhusu united ,mpaka leo pep anazidi kutembeza kichapo ...mpaka Sasa united hawaamin kuwa wameshatolewa kwenye mbio za kuchukua epl Kwan tumebaki wanaume wawili tu Liverpool na city kwa Sasa .....Toka kipindi hicho tumebeba epl mara 5 kuzidi timu zote za england ....

2011-2012 -epl

2013-2014.

2017-2018.

2018-2019.

2020-2021....yote haya kachukua Sergio Kun aguero



And we are attacking the title 2021/2022...

This is our city
View attachment 2045440

YES!...the city is OURS.
0_City-is-ours-3.png
 
Moment za aguero ambazo hata yeye binafsi hawezi sahau ni msimu wa 2011/2012 kwenye game na QPR.....

Huu ni msimu ambao nadhani project ya sheikh mansour ilikuwa inaanza huku Robert mancin akiwa kwenye ubora wake ,ni msimu ambao city ilikuwa inafanya sajili kubwa kubwa huku ikionesha project nzuri na endelevu .........

ilikuwa city iliyokuwa inasajili wachezaji mastar ,kina Silva ,dzeko ,ballotel ,aguero ,nasri ,robiho,vicent kompany,....Walitua city

ballotel na utukutu wake wote ile game na QPR alikorofishana na mchezaji mmoja wa QPR aisee nilijua ballotel anaenda kula red ,lakin huwezi Amin ballotel alitulia ,na akawa mpole yule mchezaji akala umeme pekee yake ...!

Huwezi Amin ballotel katika historian yake ya mpira pale city hakuwa kutoa assit ,lakin siku hiyo ndio assit aliyotoa kwa aguero na kumaliza game ....

Ni msimu ambo united hawatakuja kusahau kwenye historia ya mpira ,kwani ile siku man UTD walikuwa wameshashinda game vs sanderland huku wakisubili kombe la epl kulichukua , wakiwa wanajiandaa na sherehe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].....

Ndege iliyokuwa imebeba kombe ilikuwa ipo angani haijui la kufanya iende OT au etihadi !!!! ...lakin rubani alikuwa ameshapigiwa simu apeleke kombe OT ,.....

Wakati man city tukiwa tunatapatapa hapa na pale ,90min ,zimeishia ,zikaongezwa tatu .....2min zikaisha ...3min ikafika ........daaaa muda huo tunawachezea nusu uwanja , QPR wamepaki bus hatari ,ingekuwa kibongo bongo tungesema wale jamaa wametumwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...mpira unatoka nje ,nasri anakimbilia haraka ,anaurudisha uwanjani ,zinapigwa pass hapa na pale ,ndani ya box ,fans wote wa city wamenyanyuka hawaelewi kinachotokea kabisa uwanjan ......super Mario ballotel anatoa assit ya kwanza kwa aguero kwenye angle ngumu ,aguero anaweka kamban ....90+3min ...aguerooooooooooooo!
City tunachukua epl kwa mara ya kwanza .....

Mancin ndio akavunja utawala wa furgason pale epl ,kuanzia hapo city ilianza kutoa kipigo cha mbwa Koko msimu unavoanza huku mansour akizidi kuimalisha management ,mara pep guardiola akatua Etihad .....!


Unajua Nini kilifuata , furgason ndio alikuwa akitawala pale England ,na ulikuwa huwezi sema chochote kuhusu united ,mpaka leo pep anazidi kutembeza kichapo ...mpaka Sasa united hawaamin kuwa wameshatolewa kwenye mbio za kuchukua epl Kwan tumebaki wanaume wawili tu Liverpool na city kwa Sasa .....Toka kipindi hicho tumebeba epl mara 5 kuzidi timu zote za england ....

2011-2012 -epl

2013-2014.

2017-2018.

2018-2019.

2020-2021....yote haya kachukua Sergio Kun aguero



And we are attacking the title 2021/2022...

This is our city
View attachment 2045440
WANGEMJENGEA STARTURE YAKE PALE ETIHAD KAMA KINA VICENT NA SILVA INGEPENDEZA SANA.
 
Moment za aguero ambazo hata yeye binafsi hawezi sahau ni msimu wa 2011/2012 kwenye game na QPR.....

Huu ni msimu ambao nadhani project ya sheikh mansour ilikuwa inaanza huku Robert mancin akiwa kwenye ubora wake ,ni msimu ambao city ilikuwa inafanya sajili kubwa kubwa huku ikionesha project nzuri na endelevu .........

ilikuwa city iliyokuwa inasajili wachezaji mastar ,kina Silva ,dzeko ,ballotel ,aguero ,nasri ,robiho,vicent kompany,....Walitua city

ballotel na utukutu wake wote ile game na QPR alikorofishana na mchezaji mmoja wa QPR aisee nilijua ballotel anaenda kula red ,lakin huwezi Amin ballotel alitulia ,na akawa mpole yule mchezaji akala umeme pekee yake ...!

Huwezi Amin ballotel katika historian yake ya mpira pale city hakuwa kutoa assit ,lakin siku hiyo ndio assit aliyotoa kwa aguero na kumaliza game ....

Ni msimu ambo united hawatakuja kusahau kwenye historia ya mpira ,kwani ile siku man UTD walikuwa wameshashinda game vs sanderland huku wakisubili kombe la epl kulichukua , wakiwa wanajiandaa na sherehe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].....

Ndege iliyokuwa imebeba kombe ilikuwa ipo angani haijui la kufanya iende OT au etihadi !!!! ...lakin rubani alikuwa ameshapigiwa simu apeleke kombe OT ,.....

Wakati man city tukiwa tunatapatapa hapa na pale ,90min ,zimeishia ,zikaongezwa tatu .....2min zikaisha ...3min ikafika ........daaaa muda huo tunawachezea nusu uwanja , QPR wamepaki bus hatari ,ingekuwa kibongo bongo tungesema wale jamaa wametumwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...mpira unatoka nje ,nasri anakimbilia haraka ,anaurudisha uwanjani ,zinapigwa pass hapa na pale ,ndani ya box ,fans wote wa city wamenyanyuka hawaelewi kinachotokea kabisa uwanjan ......super Mario ballotel anatoa assit ya kwanza kwa aguero kwenye angle ngumu ,aguero anaweka kamban ....90+3min ...aguerooooooooooooo!
City tunachukua epl kwa mara ya kwanza .....

Mancin ndio akavunja utawala wa furgason pale epl ,kuanzia hapo city ilianza kutoa kipigo cha mbwa Koko msimu unavoanza huku mansour akizidi kuimalisha management ,mara pep guardiola akatua Etihad .....!


Unajua Nini kilifuata , furgason ndio alikuwa akitawala pale England ,na ulikuwa huwezi sema chochote kuhusu united ,mpaka leo pep anazidi kutembeza kichapo ...mpaka Sasa united hawaamin kuwa wameshatolewa kwenye mbio za kuchukua epl Kwan tumebaki wanaume wawili tu Liverpool na city kwa Sasa .....Toka kipindi hicho tumebeba epl mara 5 kuzidi timu zote za england ....

2011-2012 -epl

2013-2014.

2017-2018.

2018-2019.

2020-2021....yote haya kachukua Sergio Kun aguero



And we are attacking the title 2021/2022...

This is our city
View attachment 2045440
WANGEMJENGEA STARTURE YAKE PALE ETIHAD KAMA KINA VICENT NA SILVA INGEPENDEZA SANA.
 
Mkuuu tukifika CL huwa karata zetu zinaangukia kubaya ,pep anatakiwa kuchanga karata zake upya huu msimu japo ushindani ni mkubwa Sana ...

Sijajua tunafeli wapi kwenye CL siwezi jilaumu final tuliyopoteza dhidi ya Chelsea ,japo ndio ilikuwa final nyepesi kabisa .....

This time Kuna ushindani mkubwa Sana kwenye CL ,buyern , Liverpool ,real Madrid wapo Moto kweli kweli .........! Let us see this time itakuaje..
Mkuu kumbe unatamani kushinda CL namna hii. Subiri uwezo wako bado mdogo kubeba lile Kombe. Unajua hata sehemu ya kuitunza hamna. [emoji28][emoji28][emoji28]

Jengeni kwanza sehemu ya kuifadhi lile kombe then ndiyo muanze kuliwaza. Kwasas bado ni watoto hamna uwezo huo[emoji23][emoji28][emoji28]

Nakumbuka uliwahi kusema kwa sasa hamna haja nalo vipi imekuaje unalitamani tena?[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Moment za aguero ambazo hata yeye binafsi hawezi sahau ni msimu wa 2011/2012 kwenye game na QPR.....

Huu ni msimu ambao nadhani project ya sheikh mansour ilikuwa inaanza huku Robert mancin akiwa kwenye ubora wake ,ni msimu ambao city ilikuwa inafanya sajili kubwa kubwa huku ikionesha project nzuri na endelevu .........

ilikuwa city iliyokuwa inasajili wachezaji mastar ,kina Silva ,dzeko ,ballotel ,aguero ,nasri ,robiho,vicent kompany,....Walitua city

ballotel na utukutu wake wote ile game na QPR alikorofishana na mchezaji mmoja wa QPR aisee nilijua ballotel anaenda kula red ,lakin huwezi Amin ballotel alitulia ,na akawa mpole yule mchezaji akala umeme pekee yake ...!

Huwezi Amin ballotel katika historian yake ya mpira pale city hakuwa kutoa assit ,lakin siku hiyo ndio assit aliyotoa kwa aguero na kumaliza game ....

Ni msimu ambo united hawatakuja kusahau kwenye historia ya mpira ,kwani ile siku man UTD walikuwa wameshashinda game vs sanderland huku wakisubili kombe la epl kulichukua , wakiwa wanajiandaa na sherehe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].....

Ndege iliyokuwa imebeba kombe ilikuwa ipo angani haijui la kufanya iende OT au etihadi !!!! ...lakin rubani alikuwa ameshapigiwa simu apeleke kombe OT ,.....

Wakati man city tukiwa tunatapatapa hapa na pale ,90min ,zimeishia ,zikaongezwa tatu .....2min zikaisha ...3min ikafika ........daaaa muda huo tunawachezea nusu uwanja , QPR wamepaki bus hatari ,ingekuwa kibongo bongo tungesema wale jamaa wametumwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...mpira unatoka nje ,nasri anakimbilia haraka ,anaurudisha uwanjani ,zinapigwa pass hapa na pale ,ndani ya box ,fans wote wa city wamenyanyuka hawaelewi kinachotokea kabisa uwanjan ......super Mario ballotel anatoa assit ya kwanza kwa aguero kwenye angle ngumu ,aguero anaweka kamban ....90+3min ...aguerooooooooooooo!
City tunachukua epl kwa mara ya kwanza .....

Mancin ndio akavunja utawala wa furgason pale epl ,kuanzia hapo city ilianza kutoa kipigo cha mbwa Koko msimu unavoanza huku mansour akizidi kuimalisha management ,mara pep guardiola akatua Etihad .....!


Unajua Nini kilifuata , furgason ndio alikuwa akitawala pale England ,na ulikuwa huwezi sema chochote kuhusu united ,mpaka leo pep anazidi kutembeza kichapo ...mpaka Sasa united hawaamin kuwa wameshatolewa kwenye mbio za kuchukua epl Kwan tumebaki wanaume wawili tu Liverpool na city kwa Sasa .....Toka kipindi hicho tumebeba epl mara 5 kuzidi timu zote za england ....

2011-2012 -epl

2013-2014.

2017-2018.

2018-2019.

2020-2021....yote haya kachukua Sergio Kun aguero



And we are attacking the title 2021/2022...

This is our city
View attachment 2045440
Hapa nakupa big up hujaongopea hata neno moja. Ila mwisho umemaliz vibaya[emoji3][emoji3]

Hii mechi niliutazama mwanzo mwisho na zote zilikuwa zinaoneshwa live upende wa City na Man u. Hii mechi nilitazama nikiwa Dodoma pale oposite na jengo la NHIF kulikuwa na Pup moja hatari sijui kama pub ile bado ipo.

Mechi zote zilikuwa za kusisimua aisee. Ukizingatia mpaka dakika ya 85 bado QPR anaogoza kwa upande wa Man u pia anaongoza. [emoji3][emoji3][emoji3]

Siku ile hata mimi nilikuwa upende wenu.
 
Mkuuu tukifika CL huwa karata zetu zinaangukia kubaya ,pep anatakiwa kuchanga karata zake upya huu msimu japo ushindani ni mkubwa Sana ...

Sijajua tunafeli wapi kwenye CL siwezi jilaumu final tuliyopoteza dhidi ya Chelsea ,japo ndio ilikuwa final nyepesi kabisa .....

This time Kuna ushindani mkubwa Sana kwenye CL ,buyern , Liverpool ,real Madrid wapo Moto kweli kweli .........! Let us see this time itakuaje..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]
JamiiForums1387219386_311x310.jpg
 
Mkuu kumbe unatamani kushinda CL namna hii. Subiri uwezo wako bado mdogo kubeba lile Kombe. Unajua hata sehemu ya kuitunza hamna. [emoji28][emoji28][emoji28]

Jengeni kwanza sehemu ya kuifadhi lile kombe then ndiyo muanze kuliwaza. Kwasas bado ni watoto hamna uwezo huo[emoji23][emoji28][emoji28]

Nakumbuka uliwahi kusema kwa sasa hamna haja nalo vipi imekuaje unalitamani tena?[emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu kwenye dressing rooma nadhani pep hawezi kosa maneno ya kuwambia wachezaji wetu hasa linapokuja swala la CL ,kuhusu epl unaweza kosa namna ya kuwashawishi kwani wamenyanyua Sana,ila likija swala la CL ,kila mchezaji anatamani medal ile ....ukiangalia kwa kiasi kikubwa hakuna mchezaji ambaye kashachukua ...!

But Historia ya CL inajieleza ,huwezi fika kwa mara ya kwanza final na kubeba hapo hapo ,unless uwe unacheza na timu ambayo haijawahi kubeba ...
 
Hapa nakupa big up hujaongopea hata neno moja. Ila mwisho umemaliz vibaya[emoji3][emoji3]

Hii mechi niliutazama mwanzo mwisho na zote zilikuwa zinaoneshwa live upende wa City na Man u. Hii mechi nilitazama nikiwa Dodoma pale oposite na jengo la NHIF kulikuwa na Pup moja hatari sijui kama pub ile bado ipo.

Mechi zote zilikuwa za kusisimua aisee. Ukizingatia mpaka dakika ya 85 bado QPR anaogoza kwa upande wa Man u pia anaongoza. [emoji3][emoji3][emoji3]

Siku ile hata mimi nilikuwa upende wenu.
Mzee Mimi hii game niliangalia kila tukio uwanjan ,hapo ndioo DNA za man city zilianza kuniingia ,...!
 
Mzee Mimi hii game niliangalia kila tukio uwanjan ,hapo ndioo DNA za man city zilianza kuniingia ,...!
Kabla ya DNA za man city kukuingia hiyo 2011 Ulikuwa unashabikia timu gani Yani Ulikuwa na DNA ya timu gani?
 
Kabla ya DNA za man city kukuingia hiyo 2011 Ulikuwa unashabikia timu gani Yani Ulikuwa na DNA ya timu gani?
Mwaka 2011 nilikuwa form one ...kiufupi ndio nilikuwa na akili ya kuaanza kufuatilia mpira ,wakati Niko primary sikuwahi kufuatilia mpira zaidi ilikuwa movie tu ,tena za kihind ,enzi hizo koyla ,Krish ,Karan na arjun ,yaan ulikuwa huwezi nambia kitu cha burudani zaidi ya movie ........,Sasa baada ya kuaangalia hio game nilikuwa na mshikaji wangu anaitwa peter ,alikuwa anamkubali Sana ballotel kisa alikuwa mhuni na mkorofi kama yeye ,na alikuwa nigga kipindi hicho ,mpaka saizi peter anamalizia MD pale bugando na nishabikie wa city hatari kila siku status anatupia magoli ,highlight na habari zote za city ,na Mimi nilianza kumpenda ballotel ,teves ,aguero ,mpaka tukiwa tunacheza mpira form one ulikuwa huwezi nambia kitu kwa aguero .....!

Harafu kuna rafiki yangu alikuwa anawapenda psquare ,anadance kawa wao,alikuwa anajiita Scott ,aisee huyu ndio alinipa unyama zaidi kuhusu man city ,na alizidi kunifanya kuifuatilia city kuliko timu yeyote ,sijajua mpaka saizi Yuko wapi Scott [emoji28][emoji28][emoji28]...

Aisee Mimi nimeanza kushabikia mpira city ndio anadomanite league ,na nilizungukwa na jamaa zangu wanaoipenda city ,...Sasa ilikuwa ngumu Sana kuaanza kuipenda sijui united ,Liverpool sijui arsenal ....


Over
 
Dah!...issue ya aguero imewagusa wengi wanasoccer na wafuataliaji wa soccer kwa ujumla ikiwemo wachezaji wenzake, watu maarufu na vilabu mbali mbali duniani.
85483de4-953b-459c-a393-513c73119e1c.jpg

10608d6a-6b85-4d5f-90ab-4888e013549d.jpg

5297010c-6a01-4ce2-aaca-0edde7f8e578.jpg

c492df40-fc7c-4d13-b396-4cb975451925.jpg

8d35938f-eb06-4233-b6ff-1a1fd8a652b9.jpg

66c5d39e-bc6e-4510-aafc-b2dc98b52070.jpg

83431bc2-0d4f-4a5d-9c77-19df18535ac3.jpg

91705fed-5d25-479a-a54e-4ffeeee16ed4.jpg

694bd06b-5e78-4054-9e51-6db96dfcce3c.jpg


8d976985-2f56-4180-b0d1-21d6f889e670.jpg

39b4d7fe-06bb-473d-be9d-8ed4828d69b4.jpg

626b39c7-5e07-4000-823e-c0fe380c525f.jpg

d32711cb-74bf-46de-942d-df18d086e847.jpg

bff04d8a-9b86-4b05-bdc2-fd2b4d9d90fe.jpg

f0b9fde2-908e-4ef9-a264-0a019f443325.jpg

d32711cb-74bf-46de-942d-df18d086e847.jpg

e473c36d-3f23-4a0c-b684-27eae9fed89b.jpg


finally!...the CITY wamepost na jamaa kapokea asante yake.
25a2e4b6-481c-42ec-b0fa-fc0d1bd29820.jpg
 
Nayeye akawapostia watu wote kwa ujumla MANENO YENYE UJUMBE MZITO KWA KILA ALIYEGUSWA!!!

de4c57ec-3af8-41b1-8e17-72081525b85d.jpg

6495e408-dd6a-49a1-8a66-ffaf7dc7bad8.jpg


926290e8-0a18-449a-ace6-dec7802ffe90.jpg

e1fa92b0-9446-4abf-bfd5-9218c723196c.jpg

4ac4689a-8ce8-42ab-b0ec-ca579c259523.jpg

48048b8d-3121-45ea-9917-a93552393398.jpg

37fd117d-d8a0-4950-b008-70a382d65a9b.jpg


9feb4d6b-79bf-481f-a1a0-960773582549.jpg
 
Back
Top Bottom