kayeke
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,601
- 1,750
Wivu huyo atakuwa CHELSEASasa tatizo lipo wapi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu huyo atakuwa CHELSEASasa tatizo lipo wapi mkuu
Acha wivu. Utakufa bure. CITY inatishaHivi unajisikiaje uzi wote unacomment peke yako?
Kiuzi chenu kina doda mmekaa humu ndani kama wachawi.Acha wivu. Utakufa bure. CITY inatisha
Pambaneni na vitimu vyenuKiuzi chenu kina doda mmekaa humu ndani kama wachawi.
Hiki ndo kitimu. Ndio maana hakina hata UEFA. Sasa utofauti wa man city na Norwich uko wapi?Pambaneni na vitimu vyenu
We ni timu gani mkuu. Tuanzie hapo.Hiki ndo kitimu. Ndio maana hakina hata UEFA. Sasa utofauti wa man city na Norwich uko wapi?
Imagine mmetoka Arsenal mkajua mkihamia huku mtabeba UEFA ila wapi...We ni timu gani mkuu. Tuanzie hapo.
Mbona unarukaruka? Jibu swali kwanzaImagine mmetoka Arsenal mkajua mkihamia huku mtabeba UEFA ila wapi...
Yaani huenda mmehama na Gundu la kutoka Arsenal.
Mimi timu yangu hata ukiijua haitakusaidia.Mbona unarukaruka? Jibu swali kwanza
Hahahaha nilijua tu. Chelsea mnateseka. Mlivyoshushwa tu, mkachanganyikiwa. Kocha wenu tapeli, et natengeneza timu Italia inaogopwa na kila timuMimi timu yangu hata ukiijua haitakusaidia.
Maana nilishakubamiza fainali ya UEFA. Kwa hiyo huna cha kuniambia saivi.
Wewe hamna jipya....Hahahaha nilijua tu. Chelsea mnateseka. Mlivyoshushwa tu, mkachanganyikiwa. Kocha wenu tapeli, et natengeneza timu Italia inaogopwa na kila timu
Ila mnateseka mpaka basiWewe hamna jipya....
Maana Tuchel alishakunyoosha.
Hivi unajisikiaje mtu alikupiga mara tatu na akabeba kombe mbele yako.?
Unajua hoi kituIla mnateseka mpaka basi
We ukishatobolewa na Totte mbona.Unajua hoi kituView attachment 2054161
Huyo west ham ndio kakufanya haupo kwenye kombe lako pendwa la Carabao.Unajua hoi kituView attachment 2054161
Ila naongoza ligiWe ukishatobolewa na Totte mbona.
We ongoza tu.... Sisi tunapambania makombe ya wanaume.Ila naongoza ligi
Ambayo mie nimeshatolewaWe ongoza tu.... Sisi tunapambania makombe ya wanaume.
Makombe ambayo wewe huwezi kubebaAmbayo mie nimeshatolewa
Haya bwana. Pambaneni na Arsenal asikunyanganye nafasi ya 3Makombe ambayo wewe huwezi kubeba