Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Sasa mhrez confidence imeanza kurudi ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii timu inashindaga huku EPL kwa msaada wa marefa ndo maana kule Uefa huwa wanaumbuka mxiuu
Ina maana mashabiki wa simba haya maneno ndo mmehama nayo Mpaka hukuHii timu inashindaga huku EPL kwa msaada wa marefa ndo maana kule Uefa huwa wanaumbuka mxiuuu
Kama halijavunda si vibaya tukalichomea ubaniDuh watu mnakumbushia post za 2009 hehehehe
Huu ndo ukweli kaokoa jahazi kwa asilimia kubwa, awe tu goalkeeper no 1.ili uchukue CL lazima uwe na outstanding goalkeeper Kama Ortega ,mwenye uwezo wa kufanya save hatarii.....
Ukizingatia hatuna solid defence ,ukuta wetu unafunguka
......
Cheki goalkeeper wa madrid alivyowapa CL ,....
Goli alilofungwa edrseon na Brighton na trossard ni uzembe mkubwa na angekuwepo Ortega angeisave Amin hivo ...
Hata semi final tumetolewa kutokana na weak saves from ederson ,kile kichwa Cha Rodrigo kwa goli kipa mzuri anasave ....
Ortega anatakiwa kuanza kuaminiwa ......
Anajitahidi hasa kwenye pressing. haaland hata Kama hayupo Alvarez anajitahid kuziba pengo ....
Japo haaland ni crinical finisher ila Alvarez anajua kupress na energy kubwa ...View attachment 2412140
Tunakihitaji sana kiwango cha mahrez kirejee....jamaa ni fundi sema msimu huu kapoteana ila naona kama gari limewaka hivi .....Jana kafunga na katoa assistSasa mhrez confidence imeanza kurudi ....View attachment 2412154
Kombe lolote mbele yetu tunalibeba viva man city hakuna bwege yeyote wa kutuzuia [emoji838][emoji838][emoji838]
Mkuu sote tunamjua pep alivyo kichwa ngumu......tusitegemee kumuona Ortega akimuweka benchi pazia edersonHuu ndo ukweli kaokoa jahazi kwa asilimia kubwa, awe tu goalkeeper no 1.
ili uchukue CL lazima uwe na outstanding goalkeeper Kama Ortega ,mwenye uwezo wa kufanya save hatarii.....
Ukizingatia hatuna solid defence ,ukuta wetu unafunguka
......
Cheki goalkeeper wa madrid alivyowapa CL ,....
Goli alilofungwa edrseon na Brighton na trossard ni uzembe mkubwa na angekuwepo Ortega angeisave Amin hivo ...
Hata semi final tumetolewa kutokana na weak saves from ederson ,kile kichwa Cha Rodrigo kwa goli kipa mzuri anasave ....
Ortega anatakiwa kuanza kuaminiwa ......
Daaaa[emoji23][emoji23][emoji23]hii draw iko fixedTunakutana na Liverpool carabao