The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Sasa mhrez confidence imeanza kurudi ....
mancity-20221110-0004.jpg
 
ili uchukue CL lazima uwe na outstanding goalkeeper Kama Ortega ,mwenye uwezo wa kufanya save hatarii.....

Ukizingatia hatuna solid defence ,ukuta wetu unafunguka
......

Cheki goalkeeper wa madrid alivyowapa CL ,....

Goli alilofungwa edrseon na Brighton na trossard ni uzembe mkubwa na angekuwepo Ortega angeisave Amin hivo ...

Hata semi final tumetolewa kutokana na weak saves from ederson ,kile kichwa Cha Rodrigo kwa goli kipa mzuri anasave ....

Ortega anatakiwa kuanza kuaminiwa ......
Huu ndo ukweli kaokoa jahazi kwa asilimia kubwa, awe tu goalkeeper no 1.
 
ili uchukue CL lazima uwe na outstanding goalkeeper Kama Ortega ,mwenye uwezo wa kufanya save hatarii.....

Ukizingatia hatuna solid defence ,ukuta wetu unafunguka
......

Cheki goalkeeper wa madrid alivyowapa CL ,....

Goli alilofungwa edrseon na Brighton na trossard ni uzembe mkubwa na angekuwepo Ortega angeisave Amin hivo ...

Hata semi final tumetolewa kutokana na weak saves from ederson ,kile kichwa Cha Rodrigo kwa goli kipa mzuri anasave ....

Ortega anatakiwa kuanza kuaminiwa ......

Ederson ni mzuri wakati wa build up ila tukishambuliwa hakuna anachotusaidia na ndicho kinachotucost kwenye champions league...tunafunga ila nasisi tunafungwa tena hiikizembe.....

Kama kipa, unatakiwa kuonyesha heroics pale mabeki wanapozidiwa ujanja kitu ambacho kwa ederson hakijawahi kutokea..muangalie Allison anavyoiokoa Liverpool..angalia courtois kwa real Madrid, Mendy pale Chelsea, lloris kwa spurs.....sisi tuna pazia tu pale golini na kibaya zaidi pep kawa kama kipofu kwenye hili licha ya Ortega kuonyesha kuwa anauwezo wa kulinda lango vyema...

Hii itatusumbua sana mwakani kwenye champions league kama tukiendelea kumuamini ederson kama mlinzi wa goli letu.
 
Baada ya kumalizana na Chelsea sasa tunakwenda kumaliza na Brentford weekend kabla wachezaji hawajaenda kutumikia mataifa yao Qatar...,. Hope tutamaliza vyema

let's go the citizens
 
Pep guardiola

"We are not going to sign anyone in January, the squad we have we are pleased with. The squad will stay the same"
 
Laporte anaweza kukosa kombe la dunia kama ikithibitika kuwa na injury

Laporte looked uncomfortable at times in city 2:0 win against Chelsea on Wednesday at one point going down after clearing the ball and then asking players not to pass the ball to him as he took a breather to recover. Later he was substituted .
 
Back
Top Bottom