The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Kwa uwepo wa rodri na kwa hatua tuliyopo sasa hivi, ni ngumu sana kalvin kucheza.

Alikua na nafasi ya kupata dakika mwanzoni mwa msimu lakini akawa na majeruhi bandika bandua.
Akaja kuanzishwa mechi ya soton carabao akashindwa kudeliver.

Kwa hatua hizi za mwishoni, pep kashasema "there is no time for rotation"
Wakati foden anaikiwasha CL mwaka Jana nan alitegemea atakuja kucheza dakika chache season hii ...

Mahrez our champion league hero magoli yake yalikuwa yanatupeleka final ,Leo muda umekuwa mchache ,saizi tunaona kikosi kingine kabisa kama grealish ,ndio wanatupeleka CL semi final ...

So next season you never know rodri ataanza vipi ,kama grealish ambavo hakutegema angeweza kufit kwenye mfumo kina foden na Mahrez wakiwepo ...ndivo hivo hivo kalvin Phillips atacheda vzuri rodri akiwepo ..
 
Tunazihitaji point 3 kuliko wanavyozihitaji wao, hakuna cha new coach bounce wala nini though hawatokua wepesi kivile ila pale etihad kila goti litapigwa.

Leo ni zamu ya leicester, akitoa game tough sana basi 2:0.
Etihad siku hizi ni pahala patakatifu,hakuna mtu kuchukua point.

Hiyo bounce wataifanyia game ijayo sio etihad.
 
Wakati foden anaikiwasha CL mwaka Jana nan alitegemea atakuja kucheza dakika chache season hii ...

Mahrez our champion league hero magoli yake yalikuwa yanatupeleka final ,Leo muda umekuwa mchache ,saizi tunaona kikosi kingine kabisa kama grealish ,ndio wanatupeleka CL semi final ...

So next season you never know rodri ataanza vipi ,kama grealish ambavo hakutegema angeweza kufit kwenye mfumo kina foden na Mahrez wakiwepo ...ndivo hivo hivo kalvin Phillips atacheda vzuri rodri akiwepo ..
Kalvin anaweza kuuzwa.
 
Three changes

City starting XI

Ederson
Walker
Stones
Dias
Laporte
Rodri
KDB
Bernardo
Grealish
Haaland
Mahrez
 
Back
Top Bottom