The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Chelsea wanataka watupige € 50m kwa kova, Txiki kawaambia msinitanie wee.
 
Kalvin hizi mechi 3 azitumie vizuri
sasa hivi atapata angalau dakika 60-80 za kucheza kwa hizi mechi 3.
Kina gundo, kdb, rodri and co bado watakua wanapewa dakika kadhaa sababu timu bado inahitaji rythym kuelekea zile fainali 2.
 
Yaaani hiki kikosi chetu kikimfunga Chelsea basi itabidi Chelsea wajitafakali [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom