BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Poleni noisy neighbours, imekula kwenu!!
Hala Real Madrid, Hala Mourinho..!
Hala Real Madrid, Hala Mourinho..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni noisy neighbours, imekula kwenu!!
Hala Real Madrid, Hala Mourinho..!
ngapi ngapi?
asante sana maana walikuwa wanataka droo baada ya kuona unaweza kuifunga wakajua niwachovu basi ikala kwetu ila mpira ni mchezo wa matokeo matatu so haina mbaya all is good..
asante sana maana walikuwa wanataka droo baada ya kuona unaweza kuifunga wakajua niwachovu basi ikala kwetu ila mpira ni mchezo wa matokeo matatu so haina mbaya all is good..
Kujisahau kupo mkuu kuna wakati flow ya game inafanya timu isahau lengo ni nini..And today Man City was supposed to focus on a draw(winning as a bonus) and good defending until the last whistle.But as it stands i expect the return leg to be pretty tough.
Chezea Ronaldo weyeeee, kuna wakati nimemuonea huruma sana yaya toure.alidhani haya ni yale magem ya england anayochezeaga na kina bolton, ha ha haaaaaaa
bw ndechtia kuna kamsemo mancin alikasema kwnye press conf. Leo mchana eti " u cannot win the race usin fiat competin with the guy usin ferrari" hapo alikua anamaanisha et man cty n ferrari sa cjui njia ilikuwa na mashimo kama ya barabara ya tandale au vp naona ferrari imembwela bwna, fiat noma aisee imeibuka kidedea tehe tehe teheee..!
![]()
Poleni wakuu hapa ni kwenye CL
khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
ni barcelona pekee ndio ina uwezo wa kumfunga Mourinho na real madrid yake nyumbani kwake bernebeuacha tu