Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaongea kuhusu nini?Ila nyie majamaa hapa wabaguzi sana kwa KDB. Muwe mnapongeza angalau kidogo kwa kazi kubwa anayofanya.
The bigger one to come
Kdb Leo hakuwa tu kwenye form ,ndio maana pep kamfanyia sub ..Ila nyie majamaa hapa wabaguzi sana kwa KDB. Muwe mnapongeza angalau kidogo kwa kazi kubwa anayofanya.
Watu wanachukulia poa ,ila kombe la fa ni kombe lenye mkwanja mrefu Sana kuzid hata PL,CL ,Carabao ....Europa ndio baba laoThe bigger one to come
Mwarabu hana mbambamba lazima atie pesa kwenye lile kombe ili watu wawe makin naloWatu wanachukulia poa ,ila kombe la fa ni kombe lenye mkwanja mrefu Sana kuzid hata PL,CL ,Carabao ....Europa ndio baba lao
CL na PL ni makombe yenye values tu ....
Heshima kwanza,arsenal na FA zake bado wanaonekana vikaragosi tu sababu hawana UEFAWatu wanachukulia poa ,ila kombe la fa ni kombe lenye mkwanja mrefu Sana kuzid hata PL,CL ,Carabao ....Europa ndio baba lao
CL na PL ni makombe yenye values tu ....
Mkataba wa gundogan unaisha mwàka huu na ashaanza mazungumzo na barcelona kitambo tu.Gundo mkataba wake unaisha 2014 ,means soon anaweza kuanza mazungumzoo na club yeyote inayomtaka na kuondoka free ...
Interview nyingi kila pep akiulizwa future ya gundo anasema hajui ,muda utaamua ,but ukimwangalia pep ni kama vile anataka kumuacha gundo aondoke ,haoneneshi kabisa matumain ya kumhitaji ........ngonja tuone baada ya final CL ......
Mahrez ,walker ,stone ,rodri ,..waliongezaga mkataba mapema mnoo sio kama saizi gundo ....
Sasa tunakazi kubwa ya kumshawishi gundo kubaki ,au namuona akiondoka zake Barcelona,arsenal pia naona wakimtaka ....View attachment 2645075
karibu kwenye familia ya the citizens, hapa kwetu ni full shangwe full burudani.Nipokee nimeshahamia kwa Kipara.
Yaaah tetesi ziko hivo , Barcelona wanataka kumpa mkataba wa miaka 2 .....Mk
Mkataba wa gundogan unaisha mwàka huu na ashaanza mazungumzo na barcelona kitambo tu.
Kabakiza mwezi mmoja tu mkataba uishe.
Mabangi yuleKdb Leo hakuwa tu kwenye form ,ndio maana pep kamfanyia sub ..
Hakuna mchezaji anayeheshimiwa na pep kama kdb ....
Pep nilikuwa namuona kama vile msimu ujao anataka kumuacha gundo aondoke ,for this performance, Tuna kazi kubwa mno ya kumshawish gundo kubaki ....
Leo grealish hakuwa kwenye form lakin alikuwa anajua kununua ugomvi aisee[emoji23]..