The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Pep Guardiola on Kalvin Phillips: “We talked with him, the club: maybe the chance to go on loan, because he might not have a lot of minutes. He decided no, he wants to stay - more than welcome…”, as per BeanymanSports.
 
Pep Guardiola on Kalvin Phillips: “We talked with him, the club: maybe the chance to go on loan, because he might not have a lot of minutes. He decided no, he wants to stay - more than welcome…”, as per BeanymanSports.
Hivi kalvin Phillips anatatizo gani ,mbona kwenye game za England kimataifa anitwa na kucheza ,pale kati anacheza double pivot na rice lakin akija kwetu anakosa hata Namba ....

Nunez kaja kaingia kwenye mfumo ,..

Kovacic kaja kaingia kwenye mfumo ...

Grealish alichelewa lakin msimu unaofata alikiwasha ...

Doku kaja kaingia kwenye mfumo ...

Sasa huyu Phillips huko mazoezin haoneshi juhudi za kutaka kuanza kucheza ? ...maana pep huwa anapanga kikosi kutokana na training unavoperfom ...

Doku game ya Kwanza tu alianza vzuri lakin anasema kabisa " hajapendezwa na alivocheza maana hajaisaidia team kufunga wa kutoa assist,pep akamwambia ajiamin Jana kafanya mkubwa " ila Phillips sijui anakumbana na tatizo gani ...

Mbaya Zaidi Phillips hataki kuondoka ,anataka kubaki ,na pep kama vile hataki kumkazania kuonesha kiwango ...
 
Hivi kalvin Phillips anatatizo gani ,mbona kwenye game za England kimataifa anitwa na kucheza ,pale kati anacheza double pivot na rice lakin akija kwetu anakosa hata Namba ....

Nunez kaja kaingia kwenye mfumo ,..

Kovacic kaja kaingia kwenye mfumo ...

Grealish alichelewa lakin msimu unaofata alikiwasha ...

Doku kaja kaingia kwenye mfumo ...

Sasa huyu Phillips huko mazoezin haoneshi juhudi za kutaka kuanza kucheza ? ...maana pep huwa anapanga kikosi kutokana na training unavoperfom ...

Doku game ya Kwanza tu alianza vzuri lakin anasema kabisa " hajapendezwa na alivocheza maana hajaisaidia team kufunga wa kutoa assist,pep akamwambia ajiamin Jana kafanya mkubwa " ila Phillips sijui anakumbana na tatizo gani ...

Mbaya Zaidi Phillips hataki kuondoka ,anataka kubaki ,na pep kama vile hataki kumkazania kuonesha kiwango ...
Ukiwa city utamani kwengine maana makombe yapouelekeo wa city
Ila kutakuwa na shida mazoezi.
 
Mashine nyingine ya kazi kazi hi apa

[emoji633][emoji146][emoji838][emoji836] Rodrigo Hernánde.z Cascante is Man City's midfield machine [emoji91] In the afternoon game, he completed 113 of 116 passes [ 97% ]

[emoji838][emoji836]. 4 opportunities created by him, 2 of them were dangerous opportunities.

[emoji838][emoji836] He already have 2 assists and 1 goal in 5 appearances in the premier league this season .[emoji838]Know that this man is number 6 [emoji122][emoji122]View attachment 2752113View attachment 2752114
Huyu jamaa ndio engine yetu kwa sasa, akiumia huyu tutatafutana sana pale kati.
 
Hivi kalvin Phillips anatatizo gani ,mbona kwenye game za England kimataifa anitwa na kucheza ,pale kati anacheza double pivot na rice lakin akija kwetu anakosa hata Namba ....

Nunez kaja kaingia kwenye mfumo ,..

Kovacic kaja kaingia kwenye mfumo ...

Grealish alichelewa lakin msimu unaofata alikiwasha ...

Doku kaja kaingia kwenye mfumo ...

Sasa huyu Phillips huko mazoezin haoneshi juhudi za kutaka kuanza kucheza ? ...maana pep huwa anapanga kikosi kutokana na training unavoperfom ...

Doku game ya Kwanza tu alianza vzuri lakin anasema kabisa " hajapendezwa na alivocheza maana hajaisaidia team kufunga wa kutoa assist,pep akamwambia ajiamin Jana kafanya mkubwa " ila Phillips sijui anakumbana na tatizo gani ...

Mbaya Zaidi Phillips hataki kuondoka ,anataka kubaki ,na pep kama vile hataki kumkazania kuonesha kiwango ...
Philips anaamini bado ana kitu cha kuonyesha, atacheza carabao.
 
Riyad Mahrez was rushed to a hospital in Jeddah, Saudi Arabia, after suffering from an unknown illness. Saudi media reports that Riyad Mahrez's illness is thought to have been caused by food poisoning after he had a snack at a restaurant in the city.

Some Saudi media have captured the image of Riyad Mahrez who was unable to breathe and breathe naturally, and was attached to oxygen.

The condition of this player is said to have improved in the last few hours and his team hopes that he will be able to play again, although no official news has been released by his team.

Get well soon [emoji25] Magic 🪄 Riyad.?
IMG-20230917-WA0147.jpg
 
Mahrez vyakula vya huko Saudia vinampa tabu ,sijui kawekewa simu ,Yupo kitandani ..

inaonekana club yao haijui kuhandle wachezaji ..
 
Palmer kaenda Chelsea kutafuta muda wa kucheza Zaidi ,lakin Naona bench linamuhusu na tushatia 40m kibindoni ...

Ataendelea kuwaona kina Lewis wanabeba makombe ...
 
[emoji2424]David Moyes: "It’s between Pep and Sir Alex Ferguson [for the greatest ever]... I think Sir Alex would challenge anybody. But what Pep brought to football has changed the game. He’ll continue to win trophies because he’s got a good team with good players..."
 
Back
Top Bottom