Bellingham kapigwa chenga moja na Silva Hana hamu naye hata kumfuata hamfuati anamuangalia ahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bellingham kapigwa chenga moja na Silva Hana hamu naye hata kumfuata hamfuati anamuangalia ahahaha
Natamani chelsea FA tupige haya 8 kmkGuys kushinda PL x4 mfululizo Ni nembo moja kubwa Sana ambayo tutakuwa tumeacha EPL...saizi tupo na kikosi full ,hasira zote ziende kuishika Kwa Hao Brighton. ,Fulham , forest kiufupi epl IPO mikononi mwetu...
Sasa hata hizo tactical mbona hawana hao Madrid? Penalties hazina mwenyewee. Wamebahatisha bas.
Tukicheza na moto Wa tuliokuwa tunampelekea Madrid ,sioni hapo team ya kuweza kupona ....Operation EPL Farmerisation.
6 matches to win the fourth Consecutive epl farmers tittle.
Brighton
Wolves
Nottingham forest
Fulham
Spurs
West ham
Hapo ni kugawa dozi ya goli 3+
Arsenal Leo kayakanyaga ,uwanja mgumu sana ule [emoji1787]
Huoni ubao Mzee au mpira umeangalizia juu ya Mti ....Vip na wewe umepigwa ngapi kwako
City kachezea kichapo kumbe jana?Vip na wewe umepigwa ngapi kwako
Alikua anaangalia simulation labda.Huoni ubao Mzee au mpira umeangalizia juu ya Mti ....
FT,, 1-1
Extra time ,1-1
Kiufupi Madrid kapitia moto mkalii ...
Tunaanza na Chelkenge kwanza atuambie zile droo alizipataje.Tukicheza na moto Wa tuliokuwa tunampelekea Madrid ,sioni hapo team ya kuweza kupona ....
Saizi tuko full kikosi ,mbwa yeyote atakaye katiza Ni kupiga hasaaa ,Hakuna Namna nyingine
Bahati nzuri ni kwamba uzuri/ubora/mvuto wa jambo/kitu fulani uwa sio "universal". Mimi kwa kutizama kwangu na kwa vigezo vyangu niliona City alicheza mpira mzuri zaidi ya Madrid na hivyo alistahiki matokeo mazuri zaidi.Aliyekudanganya matokeo mazuri ya mpira ni kutawala ball possession, pass accuracy, shots on target, conners "statistics" ni nani huyo [emoji848][emoji38]
HayoooooooTunaanza na Chelkenge kwanza atuambie zile droo alizipataje.
CL zinachezwa kwa mikakati ,,...mlitaka mshinde goli 6? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]City kachezea kichapo kumbe jana?
Ni nomaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukicheza na moto Wa tuliokuwa tunampelekea Madrid ,sioni hapo team ya kuweza kupona ....
Saizi tuko full kikosi ,mbwa yeyote atakaye katiza Ni kupiga hasaaa ,Hakuna Namna nyingine