The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

kikosi cha leo
pantilimon, zabaleta, demichelis, nastasic, clinchy, navas, ferdinandinho, yaya toure (c), nasri, negredo, aguero..
 
Nditichia
Kama utakumbuka vizuri msimu uliopita nilikueleza kuhusu Mancini sio coach kwa Man city na sasa ndio utakavyoipenda city zaidi kwani wamepata mtu anayejuwa mpira wa UK
Hongera kwa ushindi mnono
 
Nditichia
Kama utakumbuka vizuri msimu uliopita nilikueleza kuhusu Mancini sio coach kwa Man city na sasa ndio utakavyoipenda city zaidi kwani wamepata mtu anayejuwa mpira wa UK
Hongera kwa ushindi mnono

nabado zinaendelea kushuka tu..
 
Back
Top Bottom