ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,767
- 6,575
mbili ndo zinaenda..wakuu naomba kuuliza hivi kwenye kundi moja team ngapi zinasonga mbele, mbili au moja? mana hapa nilipo kila mtu asema lake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbili ndo zinaenda..wakuu naomba kuuliza hivi kwenye kundi moja team ngapi zinasonga mbele, mbili au moja? mana hapa nilipo kila mtu asema lake.
mbili ndo zinaenda..
asante mkuu.. man cty washajihakikishia kumbe.
hiki kikosi cha city sio cha ushindi kabisa.
kwenye ligi ipi ndo ipo nafasi tajwa hapo juu? umelala au?Nimeuliza kama thread itadumu kwa maana ya kuchangamka. Maana Man City tuijuayo ni timu ya nafasi ya 8-12 kwenye ligi. Tusubiri tuone kama Arab Money ita-deliver performance.
Usidandie pipe kwa mbele..wewe Man City umeanza kuijua lini?kwenye ligi ipi ndo ipo nafasi tajwa hapo juu? umelala au?