The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mci 4 - 0 aston na mpiraa umekwisha hahahahaa pole sana suarez masifa na jeradi
 
khe khe khe khe khe

eeb034c6-3247-4798-aed0-e479d0a1cbf1.jpg
 
daaa huyu mtu hatari saana, yani hafai kabisa kwenye swala la mpira....
 
Kutoka hapa etihad mimi Skype, nawaacha na wamiliki wa uzi huu Kigogo na ndetichia, mimi naenda kulala, tukutane tena j1 kuwakabidhi majirani zetu ubingwa.
 
Last edited by a moderator:
goli la 4 ni la 100 kwa man city kwenye ligi..........kweli wanastahili ubingwa..........
 
bora ubingwa from man u to man c

ubingwa utakuwa unabadilishwa mitaa ya manchester tu....next season unaletwa old trafford.......2011 man utd....2012 man city......2013 man utd.....2014 man city........2015 watajaza wenyewe....
 
madrid wameharisha dk za mwisho 1-1 atletico kazi kwao........
 
Back
Top Bottom