The military strengths of Kenya and Uganda

Hah..hivi katyusha na mortar ,rocket nazo ni surface tosurface missile? Just what range can those said missile hit five kilometa?
The realy missile are medium to longrange missile which can go up to 2000 km.or intercontinental ballistic missile which no country in africa has but for egupment kenya wako juu we bongo use money supposed for weapons to fatten leaders bank accounts next time we fight we going to use spear
 

kuna jama anasema tanzania haitaki kutangaza uwezo wake w kisiraha eti wanatumia utaratibu alikuwa nao libya wana agiza kwa nchi rafiki alafu wanaficha .
 
huu ndio wakati muwafaka kwa Tz kuwaova take hawa wakenya kiuchumi wakati wao wanapigana tz ifanye juhudi kukua kiuchumi. Nalog off
 
kuna jama anasema tanzania haitaki kutangaza uwezo wake w kisiraha eti wanatumia utaratibu alikuwa nao libya wana agiza kwa nchi rafiki alafu wanaficha .

Tuombee, iwe hivyo. Hikiwa kama wanavyotuonyesha weekpedia ni aibu.
 
Kama kenya wangekuwa na nguvu za kijeshi kuliko Tz wangekuwa walishafakamia mlima Kilimanjaro kitambo aise! Maana wanatupiga majungu kuwa wao!!
 
Don't believe everything these guys tell you. When we invaded Amin the west said our military power to that of Amin was one ratio seven (1:7) but we did what we did. The other thing is that these guys had really limited access unlike the Chinese.
 
Hapo hata radar ya chenge ambayo kila mtu anaijua hawajaitaja.
Mkuu, sio kama najidai au nini, naomba nikujulishe kuwa kwa sisi tuliosomea US, maprofessors hawakubali reference yoyote inayoanzia na wiki-
i.e wikipedia, -leaks. -answers.... etc those are not credible sources
.http://www.globalfirepower.com/
 

Ulinganifu huu na uchambuzi huu kwa ujumla una lengo la kibiashara zaidi kuliko tathmini ya Hali ya Usalama. Uzoefu wa masuala ya kivita na kiusalama umeonyesha kuwa nguvu ya kivita haipimwi kwa idadi ya silaha tu na kigezo cha bajeti inayotengwa katika ununuzi wa zana na kuendesha jeshi. Hivyo vinabaki kuwa viashiria tu. Nguvu ya kijeshi msingi wake ni nidhamu ya jeshi, ari, uzalendo na uzoefu wake wa kupigana. Ndio maana Mwalimu Nyerere alipounda JWTZ mwaka 1964 aliwaambia askari kuwa "Moyo kwanza kabla ya Silaha". Ni ari hiyo na uzalendo huo ndio ulifanya JWTZ kumpiga Idd Amin na jeshi lake wakati alikuwa na silaha bora zaidi yetu, tena na msaada wa Ghaddafi.

Jeshi la Kenya halijawahi kupigana vita vyovyote hivyo halijawahi kujaribiwa, halina institutional memory ikilinganishwa na jeshi la Uganda. Linaweza kuwa na bajeti kubwa na silaha mpya( hardware) Lakini halina mzuka na ari ya kupigana (software ). Kwa wale tuliosoma gazeti la Sani tutakumbuka vyema mechi kati ya Bush Star na Town Star ambako wakina Lodi Lofa na pimbi walikuwa na jezi, njumu na vifaa vyote lakini wakifungwa na bush star ya kina kipepe, mzee Meko na madenge ambayo ilikuwa haina vote hivyo.

Hivyo, najumuisha kwa kusema tathmini za namna hiyo zinatengenezwa na makampuni yenye kuuza silaha ambao hulikisha taarifa hizo ili kuzua hodpfu na kushawishi nchi kununua silaha(arms race).
 



sheba nakuunga mkono duu umeshuka bwana ebu zidi kutupa shule
 
Those were used like...... 30 something years ago.
You are too shallow to understand the military power of any nation, let alone Tanzania.
Apart from receiving a new contigent of air power last year from China (second nation to build its own stealth fighter),Tanzania Navy is the only African navy with credible results in combating piracy in the deep seas of east africa.
Tanzania army was modeled from the Chinese army, they are guerilla armies with a huge reserves of militias,,,,, the worst nightmare fore any career army. On the other hand, if you touch Tanznia, you touched FRELIMO and UNITA, another nightmare for puppet armies like Kenya and Rwanda.
They were realy smart not to mess with Tanzania.... based on records.
 
wewe ni mfikiriaji mkuu!!
 


ground zero kweli utaifa au uraia unaweza ukawa na shida lakini kama ninakupatarifa jirani ona jamaa wanavyo kusanya nguvu kuna issue za mafuta ziwani na baharini watu huwa hawana haya kusogeza mipaka issue ya miginno unaifuatlia kamanda?
 
You don't win these kinds of war!....
 


mkuu soby ebu tueleze naaminia source zako ebu mimina majambo
 
Are we still intact that much with Frelimo and Unita mkuu?
 
Duuuu jamaa cpa, ground zero, mtazamo,soby du mnawza andika historia ya kijeshi ya taifa la tanzania
 
Lakini mh..zile pesa za mgodi wa meremeta labda walinunua silaha si walisema meremeta ni TOP SECRET viginevo ni aibu hatuna airforce,tuna navy force eguiped with canoes our ifantry division poorly eguiped,our Miltary intelligence none.
Our intelligence security capability a shame NOTHING.
 
Are we still intact that much with Frelimo and Unita mkuu?
Yeeeeah!!..... actually, FRELIMO is fiughting right now as we speak! and TPDF is kinda involved.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…