The Miracle Of The Sun/Muujiza Wa Jua - 13 October 1917

The Miracle Of The Sun/Muujiza Wa Jua - 13 October 1917

Nakumbuka enzi hizo school nikiingia kwenye pepa nikipiga salamu Maria zangu 3 pepa likirudi ni Banda juu ya mlima yaan A ya 99.9 yaan hio 0.1 basi tu teacher kaona aibu kunipa 100 chini ya 100 na teacher anatangaza kabisa pepa langu ndio litakua marking scheme yake na ananiambia niwafundishe waliokula misuaki, wakiuliza Siri ya Mafanikio nikiwaambia nilipiga salamu Maria kabla pepa wanacheka, wajomba na wapwa zangu tusiache kusali rozali kuna maajabu usifikiri uongo
Huwezi kufaulu mtihani darasani kea sala,yakupasa kusoma
 
Huwezi kufaulu mtihani darasani kea sala,yakupasa kusoma
Sala na kazi ningependa nikukutanishe na niliosoma nao wakusimulie kuhusu Mimi Ila ndio hivyo haiwezekani, Imani plus focus then concentrate unatokea kwenye Dunia nyingine kwenye hall mpo Wengi Ila unajiona km kwamba upo peke yako km huna C2 huwezi kunielewa unaona maluweluwe tu
 
Bikira maria ana mamlaka gani!?.. acheni bangi nana!!
Na Wewe si uvute kwani umekatazwa? Mamlaka gani kila mtu ana Imani yake Wewe amini unachokiamini acha wengine waamini wanachokiamini km unaamini mibange basi kavute nenda kafanye yako upate A+

Halafu usiishi kwa kukariri utapotea kabla hujapotezwa
 
Imani ya kipangani na mafundisho ya kipangani
na muda si mrefu mtaruhusu ushoga.
 
Kuna ile ya Our Lady of Zeitoun kule Misri, ilishuhudiwa na watu wengi zaidi kutokana na kutokea kwa muda mrefu. Kule inakadiriwa hadi watu milioni moja walimwona Mama Yetu. Tunajisahau tu ila ana role kubwa sana ya kutuombea. In some places ametokea kuwaandaa watu na majanga yanayokuja, na kutoa tahadhali ya nini kifanyike katika hali hizo.
 

Attachments

  • Screenshot_20250209-142733_Google.jpg
    Screenshot_20250209-142733_Google.jpg
    112.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom